Alichokiandika Zito ni kwamba anakuabaliana na Serikali tatu, isipokuwa mawazo yake yamejikita katika kuboresha muundo wa utawala. Hata hivyo, kwa mawazo yake haya yatakuwa yanakinzana na katiba ya Zanzibar! Nakumbushia kwa kusema kuwa, kosa lilifanyika katika kuikubalia Zanzibar kuwa na katiba...
Itakuwa vema wakiwa na seed money ya kuwaanzishia/kuendeleza vikoba au saccos zao ili kuwakwamua katika rindi la umaskini. Wakifanya hivi watawasaidia akina mama hawa kujitambua. Faida yake ni kwamba hawa akina mama hawatatabaishwa tena na khanga za CCM wakati wa uchaguzi. Good strategy...
Ahsante mkuu, sasa kwanini mdau amegusia alizuia fedha kwa ajili ya kazi maalum? Kwa nini hawajasema ugonjwa wake? Je, una uelewa/ufahamu wa mazingira ya utendaji kazi wake?
Heavy duty photocopy machine Canon IR 2230. Bei yake ni Tsh. 1,400,000, punguzo litakuwepo. Ipo katika hali nzuri, ninaiuza kwasababu nahitaji kuanzisha biashara nyingine. Napatikana Dar. Karibu.
umedadafua viizuri sana. lakini sekretariat iliktana na kutoka na maamuzi pamoja na njia ya kukabili mgogoro huu ndio maana nchemba akatumwa. nchemba ni mropokaji na ana uwezo mdogo wa kujenga hoja na upatanishi hivyo kuna uwezekano ile kauli ilimtoka tu baada ya kuona mazingira yalivyo. sasa...
Ni lini mkulu aliwahi kutoa ufanunuzi kwa wakati kwa masuala mazito kama haya? Ccm ilimtuma mwigulu akafanye nini? Kauli ya mwigulu ndio maamuzi ya sekretarieti?
Unapofananisha objective A na B tena kwa awamu mbili tofauti, kutakuwa na factors ambazo zinaweza kuathiri matokeo. Factor mojawapo kwa suala hili ni uongozi wa spika, pili vugu vugu la siasa nk. Kwa mantiki hiyo bandiko lako limekuwa haliwezi kutoa majibu sahihi
Hapo kwenye red mkuu, kwa mujibu wa mleta habari inaonekana Msacky ndiye alikuwa anapiga simu, sasa iweje watekaji ndio walikuwa wanamuweka kwenye target?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.