Nami nimefurahia ufafanuzi huu. Hata hivyo nami naomba kueleweshwa, Passport yangu inaisha 2028 lakini nimesikia ikifika mwakani walio na passports za zamani wanatakiwa kuzibadilisha. Hapo sijaelewa namna ya kufanya
Ndugu zangu, kuna anaefahamu MADARAJA kwa watumishi yatapandishwa lini? Uhamisho utaruhusiwa tena lini maana Ndoa zetu zinaelekea kuwa mashakani. Ongezeko la Mishahara nalo lipoje?
Sisi tunawachora tu, naamini miaka hii miwili 2019-2020 hamtopata usingizi maisha yenu. Hofu hofu hofu imewatanda. Mmeshaona kuwa hampendwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi HADITHI Mheshimiwa wa TABORA hazitaki kabisa, ukizileta mbele yake kama hakukusukuma ndani basi anakufyekelea mbaaaliii.
Note: navihitaji tafadhari maana nahisi kama niliruka stage.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.