Recent content by ntantau

  1. ntantau

    Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Ndio... Kama idadi ya watoto nilionao inanitosha, Nafunga ili nipate kufanya maisha mengine
  2. ntantau

    Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Kama una idadi ya watoto unaoona unastahili kuwa nao, funga kizazi. Japo wengi watapinga ila ni option nzuri zaidi kama huna mpango wa kuongeza mwingine zaidi.
  3. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Mkuu hiyo point namba tatuu(3) Kama kuna sehemu unaweza nipa connection ya ku supply hizi kazii, nitashukuru sana. Hakika siwezi kukusahau tunufaike wote.
  4. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Sawa kiongozi. Nitaboresha zaidi. Lkn kazi zilizo plain zipo pia. Hiyo ya kwanza uliyoipenda ni Tsh 200,000 Nimepokea ushauri na kurekebisha. Asante
  5. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Nimechukua umezingatiwa na nimeuchukua Hakika, nitaufanyia kazi. Kazi zilizo plain zipo. Hii ilikuwa sanmpo kuonyesha tunaweza kuweka kitu hapo.
  6. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Asantee na nitajaribu zaidi. Naamini tunaweza kutengeneza vitu vyetu wenyewe bila kutegemea kuagiza china. Hii itasaidia kuanzisha viwanda vidogo vidogoo vitavyoongeza ajira kwa vijana Asante kwa ushauri mkuu Nimelifanyia kazi na nimeweka bei.
  7. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Zina bei tofauti tofauti.. Karibu sanaa
  8. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Habari wana jamii Ninashiriki nanyi handmade home decorations ninazotengeneza mwenyewe, kazi zinazochanganya art, light na modern interior design. Kila piece ni unique, imetengenezwa kwa umakini na passion, ikiwa na lengo la kuleta comfort, elegance na identity ndani ya nyumba au ofisi...
  9. ntantau

    JF Story: Fair Game

    Another episode soon
  10. ntantau

    JF Story: Fair Game

    ZURI. Im Zuri. The CEO of Zuri microfince,mjukuu wa aliyekuwaa mwenye Dar es salaaa yake.aliyejua kutamba nayoo na kuinyoosha sawaa sawaaa,nani asinijuaa,nani asiyenifahamu Zuri mimi, niko na full of connection,sio connection za Gigi money na chuma hahahaha lkn, u know what i mean Kama wewe...
Back
Top Bottom