Recent content by Ntaka

  1. Ntaka

    EV zina gharama ndogo za uendeshaji kuliko magari ya ICE. Sema ngumu sana kumshawishi Mtanzania

    Vipi kuhusu tofauti ya bei ya kununua? Ev inaweza kuwa imeshakava tofauti ya bei kwa muda huo wa miaka miwili? Na vipi pia kuhusu power hasa kwenye kupanda milima, Evs zinaweza kuperform vizuri?
  2. Ntaka

    Ukiona Familia yoyote inashida au sio strong ujue Mwanaume ndiye Mwenye matatizo. Mwanaume ndio Kafeli

    Ndo hivyo mkuu, kuna sehemu wameambiwa wajifunze hata kwa makahaba jinsi wanavyobembeleza wateja wao
  3. Ntaka

    Ukiona Familia yoyote inashida au sio strong ujue Mwanaume ndiye Mwenye matatizo. Mwanaume ndio Kafeli

    Haijalishi ni muda gani, ila ukiona ndoa yoyote imevunjika jua ni kwa sababu ua upumbavu wa mwanamke
  4. Ntaka

    Ukiona Familia yoyote inashida au sio strong ujue Mwanaume ndiye Mwenye matatizo. Mwanaume ndio Kafeli

    Anapinga na maandiko yanayosema "Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"
  5. Ntaka

    Ni namna ipi nzuri ya kutoa fungu la kumi?

    Unaweza kutoa hata kwa yatima, mgeni, mjane na mlawi(ambao kwa sasa hawapo) Tolati 26:12-15. Utakapokwishakutoa zaka,.............umpe zile zaka mlawi na mgeni na yatima na mjane, wapate kula ndani ya malango yako na kushiba, .....
  6. Ntaka

    Wanafunzi wenye IQ kubwa ni wale waliopata division 1 shule za kata hasa vijijini, wana upeo mkubwa wa kusoma bila walimu, tuition, past papers

    Hivi hizi shule zenye mtaala wa Cambridge hawana somo la mapenzi ya jinsia moja kweli?
  7. Ntaka

    Taja jina la nchi isiyokuwa na Herufi "A"

    Kwa kiswahili haina A
  8. Ntaka

    Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Kama ingekuwa hivyo nisingefikisha hata hiyo 50% ndani ya miez saba, Mi naamini nitafanikiwa tu. Ila mm siyo miongoni mwa wale wanaosema wanadanilod maelf ya $ kwa siku, Mi nimeamua kuifanya kama sehemu ya kuweka akiba yangu like utt, So natumia lot ndogo mno ambayo ntabaki salama hata kama...
  9. Ntaka

    Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Hiyo account ndo ina huo mda, ila mimi nimeanza forex mwaka 2018
  10. Ntaka

    Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Hata kama taarifa nazipata kwa kuchelewa, kupanda au kushuka kwa currency yoyote hakutatokea kwa siku moja tu Lazima na mm ntapata taarifa kwa kuchelewa siku moja au masaa kadhaa ukingatia sasahiv ni zama za utandawazi
  11. Ntaka

    Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Mfano wake si ni kama hiyo screenshot yangu niliyoanza na Usd 4000 mwezi wa nane mwaka jana ila mpaka sasa nilishafikisha 50%. Au hiyo 45% unamaanishaje labda?
  12. Ntaka

    Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Kama traders wakubwa wanaweza fikisha 60% kwa mwaka, mi nashindwaje 45% kwa mwaka?
  13. Ntaka

    Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

    Mwaka inawezekena kabisa, au kwa vile ni kubet labda mambo yanaweza kuchange total Lakini katika hali ya kawaida inawezekana mkuu
Back
Top Bottom