Wametuacha mbali kwenye nini? Ukabila? Fitina? Hiki wanachofanya ni ulaghai mtupu labda kujaribu na kuweka presedence tu kuwa waliwahi kumfuta kazi DP. Hii ni katiba ya hovyo sana
Uwatangaze watauza usiwatangaze watauza. Fanya kile kilicho chini ya uwezo wako.
Tamasha hili litauza mafuta, vipuri, vyakula, vinywaji n.k faida ambazo zitabaki nchini
Wana mchezo wa chuki, ukabila na wanatumia muda mrefu kwa upumbavu huku wakigawana kodi za wananchi.
Gachagua hata akiondolewa, hakuna kitakachobadilika, ataingia fisadi tu kula hela za wakenya
Umeandika mengi sana lakini nimeshindwa kumalizia kwa sababu unaamini seeikali imehusika kuua wananchi wake. How sure you are? Kwa maneno kuwa Kibao alishushwa na watu wenye silaha, ni sababu tosha kusema serikali imehusika.?
Serikali ni nini?
Nani ni serikali?
Lakini pia inaonekana hukufurahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.