Recent content by ntabudjo

  1. ntabudjo

    Mwanamke wa kizungu ananidrive crazy

    Tangu tuingie kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyawezi, nimekuwa nikipata shida sanaa hasa wakati nikiwa nae coz, mara nyingi anapenda mimi nimchagulie kila kitu. Hata nikimuomva papuchi ananijibu as you wish...... Yaaani kila kitu anasema yes.....Inanipa wakati mgumu sanaa kutambua anapenda...
  2. ntabudjo

    Huyu mwanamke anavuta sigara kama Marlboro, nimemtimua

    Huyu atakuwa muhayaa. Wahaya ndio hawajui kutofautisha ha na a
  3. ntabudjo

    Bangi ni mbaya sana

    Huku Nerthelands kuna baadhi ya migahawa hawaruhusu kuvula sigara ila wanaruhusu bangi tuu.
  4. ntabudjo

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Sikufanya biashara nilifanya kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja ili nipate mtaji kazi imekiwisha sasa nataka kufanya biashara
  5. ntabudjo

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Habari ndugu zangu. Mimi ni kijana mwenye miaka 26 sasa nimepambana kutafuta mtaji wa kuanzisha biashara nzuri itakayo nifanya niendelee zaidi kiuchumi na kijamii Naombeni mawazo yenu ni biashara gani nzuri naweza kuifanya na huu mtaji wa milion 10 Kusema kweli kwa upande wangu ninapenda sana...
  6. ntabudjo

    Faida ya kuwa Dar

    pia na james dedicious yupo dar Sent using Jamii Forums mobile app
  7. ntabudjo

    Lissu: Kumkamata Harbinder Sethi na James Rugemalira ni sawa lakini haitoshi

    makinikia yamekwisha sasa tumerudi escrow
  8. ntabudjo

    IKULU: Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya Pili ya Mchanga. Waliosaini Mikataba Wakaangwa

    radio zote tanzania wako live kasoro radio maria
  9. ntabudjo

    Ofisini hakukaliki: Secretary ameliamsha Dude

    mwanamme kamili kila baada ya sekunde tatu lazima afikilie ngoni
  10. ntabudjo

    Wanawake mabikra tukutane hapa

    kwani ukitunza bikra unapata faida gani au mahari inaongezeka?
Back
Top Bottom