Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,225
- 115,063
Kwangu kuchepuka is a disrespect but it is a very big disrespect mume kulala na housegirl. .
Kwa hiyo hapo tunakuwa wake wawili ndani, kuna kuheshimiana kweli hapo?. .
Mi ntakutukana tu badala ya kukushauri, ngoja niishie hapahapa
My dear hapo hakutakuwepo na hata chembe ya kuheshimiana aisee mana hakutakuwa na utofauti cha zaidi yatakuwa mashindano na dharau za waziwazi.