Wadau saa nyingine tuwe na busara kidogo kwa sababu tu democracy na uhuru wa kuongea ndo hata kama ukimtukana Raisi hadharani uachwe tu eti world bank watasikia.
Kama wanatafuta sababu za namna hiyo ili Tanzania ikose misaada hawamkomoi Magufuli bali taifa zima ikiwemo jimbo lake.
Nitarudi...
Hao wenye masters unaweza kuwalinganisha na makonda? Mbona hatuwasikii? Hizo ndo chuki ambazo mwandishi ameelezea au hujasoma bandiko lote umerukia kwenye jina tu? Acha unafiki na chuki Dar ilioza jamaa kainyoosha.
Watanzani hatuna shukurani , tungeingia kwenye list tena ungekuja na story oooh pangaboi zitaenda nchi ya nani nani azitake. Ndo maana hatuendelei sababu ya kutoa only negative impact kwa serikali basi ungekuja na angalau agreement chache kwenye mkataba tungekuelewa. Kama tumewekwa pending mpaka...
Zitto anapotosha pesa inayokwenda mifuko ya jamii inakuwa imetolewa kwa mwajiliwa bila kukatwa kodi. Na kodi inayokatwa kwenye mshahara ni baada ya kutolewa ile ya kwenda kwenye mfuko wa kijamii. Maana nyingine ppf/nssf nk haikatwi Kodi kwenye mshahara. Kinachoenda kufanyika ni kwamba mafao ndo...
Sheria na utaratibu wa nchi lazima ufuatwe si mbunge wala raia, Rufaa za nje ya nchi lazima zitolewe mhimbili hospital, ndo sheria inavyosema, je mgonjwa wako amepewa na nani rufaa??? Mbona mnapenda sana kulalamika hata kama mnamakosa??? Mnapenda kuonewa huruma kila siku kwa nini? Sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.