Recent content by Nsuumba

  1. Nsuumba

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Write your reply...R.I.P the hero of Clouds media
  2. Nsuumba

    TUNDU LISSU: Kuporwa kwa mafao ya Wafanyakazi ni dhambi ya Bunge au tunalishwa matango pori?

    Hivi mnamwelewa vizuri Rais? Haoni tabu kuzibani hata hizo na ikitokea hivyo mtaona huyo aliyetoa maada pia analialia.
  3. Nsuumba

    TUNDU LISSU: Kuporwa kwa mafao ya Wafanyakazi ni dhambi ya Bunge au tunalishwa matango pori?

    Aseme wabunge tumewekwa mfukoni akiwemo na yeye
  4. Nsuumba

    Serikali inashindwa kucheza na akili za Mbowe tayari ameshaweka kwenye kona nyingine

    Wadau saa nyingine tuwe na busara kidogo kwa sababu tu democracy na uhuru wa kuongea ndo hata kama ukimtukana Raisi hadharani uachwe tu eti world bank watasikia. Kama wanatafuta sababu za namna hiyo ili Tanzania ikose misaada hawamkomoi Magufuli bali taifa zima ikiwemo jimbo lake. Nitarudi...
  5. Nsuumba

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Hao wenye masters unaweza kuwalinganisha na makonda? Mbona hatuwasikii? Hizo ndo chuki ambazo mwandishi ameelezea au hujasoma bandiko lote umerukia kwenye jina tu? Acha unafiki na chuki Dar ilioza jamaa kainyoosha.
  6. Nsuumba

    Mkutano wa Umoja wa Afrika: Nchi 23 zaweka saini mkataba wa anga huru; Tanzania hatumo

    Watanzani hatuna shukurani , tungeingia kwenye list tena ungekuja na story oooh pangaboi zitaenda nchi ya nani nani azitake. Ndo maana hatuendelei sababu ya kutoa only negative impact kwa serikali basi ungekuja na angalau agreement chache kwenye mkataba tungekuelewa. Kama tumewekwa pending mpaka...
  7. Nsuumba

    Wakili Albert Msando na Zitto Kabwe wajibizana kuhusu mafao ya wastaafu kukatwa kodi

    Zitto anapotosha pesa inayokwenda mifuko ya jamii inakuwa imetolewa kwa mwajiliwa bila kukatwa kodi. Na kodi inayokatwa kwenye mshahara ni baada ya kutolewa ile ya kwenda kwenye mfuko wa kijamii. Maana nyingine ppf/nssf nk haikatwi Kodi kwenye mshahara. Kinachoenda kufanyika ni kwamba mafao ndo...
  8. Nsuumba

    Kitendo cha Rais Magufuli kutoshiriki katika kuwaaga Makamanda 14 wa JWTZ waliouawa DRC...

    Jiulize nilikuwa na tukio gani leo Dodoma?
  9. Nsuumba

    CHADEMA: Tumepokea taarifa za kujiuzulu mbunge wa Siha kupitia mitandao ya kijamii

    Lisu atarudi akute wote washahama mpaka mwenyekiti wake.
  10. Nsuumba

    Makapuku Forum

    Mach know hata huku upon???
  11. Nsuumba

    Makapuku Forum

    Poa bibie
  12. Nsuumba

    Bunge na Serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya hahitaji msaada wenu

    Sheria na utaratibu wa nchi lazima ufuatwe si mbunge wala raia, Rufaa za nje ya nchi lazima zitolewe mhimbili hospital, ndo sheria inavyosema, je mgonjwa wako amepewa na nani rufaa??? Mbona mnapenda sana kulalamika hata kama mnamakosa??? Mnapenda kuonewa huruma kila siku kwa nini? Sheria...
  13. Nsuumba

    Lissu amshukuru Rais Magufuli kwa wema aliomtendea

    Jpm hanaga imani na watu wanaomkwamisha kutekeleza ahadi alizotoa kwenye kampeni pia hana imani na wanaomkwamisha kutatua kero za wananchi
Back
Top Bottom