Recent content by Nsongola - mabunga

  1. Nsongola - mabunga

    Nape Amlilia Roma Mkatoliki, ‘Ooooooh No!’

    TANZANIA TANZANIA TANZANIA MBONA GAFLA SIYO MAHALI SALAMA TENA?
  2. Nsongola - mabunga

    Ushauri Wangu Kwa ACT, CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi

    Nimeyapenda mawazo yako.GOOD
  3. Nsongola - mabunga

    Mahakama Kuu yatengua Hukumu ya Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali

    VIVA LISSU VIVA YOU ARE MY REAL MODEL
  4. Nsongola - mabunga

    Mwakyembe: Serikali haiwezi kufanya kazi bila vyombo vya habari, adai Makonda sio Kipaumbele

    AKI MWAKI- EMBE HAWA MBONA SAKATA LA RICHMON HAKUHOJI PANDE MBILI?
  5. Nsongola - mabunga

    Paul Makonda: Hata ningepata sifuri kwenye masomo yangu, bado ningekuwa Mkuu wa Mkoa

    BASHITEEEEEE.........ACHA HIZO BWANA LETA MAJIBU MUBASHARA
  6. Nsongola - mabunga

    Kwanini ufaulu wa somo la Civics kidato cha nne mwaka huu lipo chini sana?

    Katika watu walioumizwa na matokeo ya CIVICS ni mimi kwani mimi ni mwalimu wa serikali na huwa nafundisha civics wanafunzi wanafanya vizuri! sasa kuna shule ya private wakaniomba niwafundishie 'part time' na nilivowatathmini wale wanafunzi nikagundua wana uwezo kuliko wangu wa serikalini hivyo...
  7. Nsongola - mabunga

    UDSM Home of Intellectuals: Nilipokosa nafasi pale niliumia sana

    TUACHE MANENO MANENO UDSM NDO CHUO BORA TANZANIA NA KINACHOTAMBULIKA KIAFRIKA KULIKO CHUO CHOCHOTE TANZANIA. AM PROUD TO BE UDSM ALUMNI
  8. Nsongola - mabunga

    Upigaji kura wa Rais, wabunge na madiwani 2020

    Nami natabiri kupungua kwa idadi ya wapiga kura 2020 jambo siombei itokee hivyo.shida ya wananchi wengi ni uhalali wa refa anaechezesha mechi ya simba na yangu huku akiwa ni mwanachama damu damu wa yanga unategemea matokeo gani hapo?
  9. Nsongola - mabunga

    Ushauri kati ya M.A kiswahili na M.A linguistics

    Mie kwa mtazamo wangu M.A (kiswahili) ni muafaka zaidi kwani nadhani umeona juhudi za serikali na taasisi za elimu ya juu kukihuisha kiswahili mfano chuo kikuu cha Dar es salaam wametangaza kutumika kwa kiswahili kwa mawasiliano ya pale ndani hivyo kutahitajika wamilisi wengi na wabobezi wengi...
  10. Nsongola - mabunga

    Katiba Mpya siyo Kipaumbele cha Rais Magufuli - Mwakyembe(CCM)!!

    HII NDO TANZANIA KILA KIONGOZI ANAKUJA NA VIPAUMBELE VYAKE BILA KUANGALIA DIRA INATUTAKA TUENDE WAPI.
Back
Top Bottom