Umeongea kweli mkuu, lakini Tanzania ina watu milioni 50, hawa watu wote wote tukiamua kugawana majukumu, hatuna sababu ya kusubiri, wanasiasa wafanye kazi yao kuhakikisha kuna haki na uwajibikaji, wanasayansi wafanye kazi zao kwa weledi, kujituma na ubunifu wa hali ya juu, wanaotaka kuunda...