Tatizo ni hili; kuanza ngono kabla ya ndoa. Mara nyingi unajenga kutoaminiana. Kiasi ya kwamba kama amefanya na yeye atashindwaje kufanya na wengine, nafikiri kwa huyo mwanaume kumwaini mke wake.
Wajenge kuaminiana, kumkubali kama alivyo, kuchunguza sana hakuzuii mtu ye yote. Zungumza na huyo...
Kwa kuwa um
Kwa kuwa umejitambua ulivyo ni hatua ya kwanza muhimu sana katika kuelekea kubadilika. Hata kama huyo hamtarudiana lakini ni eneo moja la kuanzia kulishughulikia.
Halafu hiyo tabia inaanza mbali sio kwa tu hao unaotofautiana, chunguza una maumivu gani moyoni uliumizwa kwa namna moja...
Na
Wewe kwenye akili yako kuna mtu mwingine ambaye kwa sasa unamlinganisha na huyo wako. Hapo nyuma hukuona hilo. Upendo si hisia, ingawa hisia zinaweza kuwepo kwenye upendo. Lakini ukweli upendo ni uamuzi wa ndani yako juu ya mwenzako. Wengine wanasema mpende kwa imani si hisia. Hisia...
vi serikali imewahi kutoa sababu zo zote za watu waliouawa maeneo hayo serikali imezitoa. Viongozi wa serikali za kijiji wamekuwa wakiuawa, halafu hawachukui cho chote, ni maisha yao tu, je tuite ni nini?
Kuna haja ya kuwakamata hawa huenda tukapata taarifa yao ni kwanini wanafanya...
Kwanza kushika dini una maana gani? Ungefafanua, je wewe kama ni mkristo na yeye anakwenda kanisani au kama wewe ni Mwislamu anakwenda msikitini au anakuzuia wewe uziendelee kwenda kwenye ibada yako au kufanya pamoja.
Kama hakuzuii katika njia yako na una uhakika hana sababu zingine zinazomzuia...
Hakuna anayefurahia kuhama nje ya mwenzake, huyu ndugu kwanza anatakiwa kuwa mtulivu na asiwe na mawazo hasi kuhusu mkewe. Labda ana mashaka naye kabla ya kuhamia huko. Sidhani kamaN hata yeye anafurahia kuwaacha watoto peke yake.
Kwa kawaida siku hizi wanawake hawataki kuacha kazi kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.