Ama kweli muosha naye hatimaye huoshwa! Baada ya kutamba sana akiwa madarakani na kusababisha madhila kwa watu wengi hatimaye amekufa na sasa anaoza!
Nianze maelezo yangu kwa kipande cha shairi:
Nchini kulichafuka, barani na baharini, Kitini ameshatoka, yule bichwa mjivuni, katunusuru Rabuka...
Ukitaka kwenda peponi baada ya kifo chako, basi, sali, tenda matendo mema na ISHI KIFUKARA! Ndio, namaanisha! Fanya kazi yoyote halali lakini sehemu kubwa ya kipato chako kitumie kutimiza wajibu wako na hakika kusaidia masikini!
Huwezi kutumikia mabwana ( masters) wawili, so they say...
Ni uamuzi wa busara sana. Kuzira au kususia isingesaidia kitu. Wingi si hoja ! Kumbuka mwaka 2008 wakati Lowassa anapigwa chini, Chadema ilikuwa na wabunge 11 tu! Isitoshe wabunge wengi wa CCM vilaza!!!
Chadema waende kwenye battle ground:
Chadema wapeleke hao wabunge. Vita inapiganiwa msituni. Bunge ndio battle ground mwafaka. Isitoshe thamani ya mbunge mmoja wa Chadema ni sawa na wabunge 50 wa CCM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.