Recent content by Nsibwene

  1. N

    Hivi ni kweli hakuna ndege inayoingia na kutoka hapo Dar es salaam ??

    Je, Ethiopia airline bado inakwenda Dar, mimi niko nje ya nchi nategemea kusafiri jnne tar 4/11/2025 kurudi nchini Tafadhali anayejua asaidie kujibu
  2. N

    Sijajua wa Kenya wanawashwa nini na wa Tanzania

    Huu ndio ukweli, bila ushindani huwezi kuendelea Simba na Yanga zinafanikiwa ni kwa sababu ya kushindana
  3. N

    Mvutano Kati ya Uislamu, Historia na Akiolojia

    Mtu mwenuenakikinhaoasiroki inaporolewa hoja. Ni byema sana kutulia nanl kujiuliza, kinacjoansikwa ni kweli. Kuna wako tayari kug'ag'ana na jambo hna uhakika nalo. Tulia chunguza huenda ikakusaidia sana na hoja hizi. Ukweli Uislamu una maswali mengi kuliko majibu. Asilimia kibqa ya Waislamu...
  4. N

    Waislam Pemba Waandamana Kanisa Lisijengwe Pemba

    Hivi kujengwa kanisa na wewe kwenda kuswali msikitini unazuiwa ku"practice" imani yako. Hivi unataka watu wa imani nyingine wasiishi Zanzibar. Moyo wa Uislamu ni wa ubinafsi sana, unadhihirisha jinsi walivyo. Mbona unaandika bila kutulia. Kama ni nchi ya dini Fulani na Tanzania Haina dini...
  5. N

    Kifuta Shule za bweni za Jinsia Moja

    Miaka ya nyuma dada ambaye sasa ni mtu mzima alikuwa anasoma Loleza Sekondari Mbeya; alinisimulia jinsi mchezo wa wanawake kuchezeana ulikuwepo. Akasema msichana mwenzako unamwona ndiyo mwanaume wako. Shule za Jinsia Moja hazitakiwi kabisa kuwepo zinachochea sana ushoga na usagaji. Kwa kuwa watu...
  6. N

    Uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma inaonekana ni kama mtihani mgumu kwa baadhi ya Idara na Taasisi

    Hii ndiyo kweli yake; wewe utoke Dodoma uende jiji la Zanzibar lini? Kuna mbunge mmoja wa nchi ya Zanzibar alipinga hili la kuhamia Dodoma. Dodoma ni makao makuu ya Tanganyika na Dar ni makao makuu ya Tanzania, unaonaje?
  7. N

    He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Nashukuru umeweza kuona hayo. Cha kutakafarisha iweje nakala zingine zilizoshushwa na Mungu zikachomwa moto? Inakuwaje wafuasi wa mtu mmoja wauane wao kwa wao? Ukiangalia kwa makini unaoma kina mushkeli katika Qur'an. Ukiangalia Biblia- ndiyo, walikusanya vitabu na kuweka vigezo vya vitabu...
  8. N

    Sherehe za Uhuru hazipaswi Kufutwa. siku ya Uhuru ndio msingi Mkuu wa Taifa

    Nafikiri ni kupunguza kutaja Tanganyika ili tuisahau. Zanzibar iliungana na Tanzania bara sio Tanganyika!!! Heri wangefuta mwenge ubaki alama ya kumbukumbu njema!
  9. N

    Kabla na baada ya ndoa

    Utatuzi ni kutafuta chanzo chake ni nini. Jitahidi kutafuta chanzo cha hayo. Au Kuna mambo ya nyuma alifikiri angesahau yalimuumiza. Haina mbaya wa kudumu
  10. N

    Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

    Mkristo wa kweli hawezi kumchukia Mwislamu Bwana Yesu alifundisha kuwapenda watu wote hata adui zako. Iweje achukie Waislamu. Hii haitegemei uko pwani au bara. Mradi ukifuata mafundisho Yake hu2ezi kuwa na chuki. Tofauti na dini zingine zinazo kilip kidsi
  11. N

    Mwamke msaliti

    Je, mwanaume masaliti anasamehewa?
  12. N

    Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

    Je, wanawake waliotapeliwa mali walizochuma na wake zao, mbona hawafi?
  13. N

    Tetesi: TBC1 kuripoti live MATOKEO uchaguzi Mkuu Marekani

    Unaifinguaje nchi kwa kuzhiriki kwenda kuangalia
Back
Top Bottom