Recent content by nshimbeong'wana

  1. N

    Makavu live kwa mnaoenda vyuoni

    Mtoa mada uko vzuri lakin sio kivle!
  2. N

    Naomba msaada jinsi ya kutumia scientific calculator

    Shukrani! Lakin calculator nlshainunua longt halafu vtu kama sina nlshavipoteza nilkuwa naomba mbinu nyingne kama kuna uwezekano!
  3. N

    Naomba msaada jinsi ya kutumia scientific calculator

    For those who know on how to use scientific calculator on solving matrix problems especially to find determinant and inverse i need your contribution please! Warmly wellcome all mathematian for your concrete elaboration
  4. N

    Naomba msaada jinsi ya kutumia scientific calculator

    Anayefahamu kusolve matrix kwa njia ya scientific calculator naomba kuelekezwa. Mf: kutafuta determinant, transponse na inverse! Mnakaribishwa wote mliosoma Advance Mathematics
  5. N

    Mkopo kwa wanaosoma open University of Tanzania

    muulze na wa udsm tuone la kufanya!
  6. N

    Tuwe makini na matapeli hawa

    hapana nmenusulika!
  7. N

    Tuwe makini na matapeli hawa

    Jaman kuna matapeli wametapakaa wanajifanya wameagiziwa na MZUNGU kununua dawa iitwayo QUARANTINE hii hupatikana viwandan viitwavyo ROYAL CHEMICALS FACTORY sera yao nikukutaka wewe msomi uongee na huyo mzungu mpange bei ya juu zaidi kulgana na uhtaji wa kiasi kikubwa kama dumu hamsin (50) zenye...
  8. N

    Jamani kwa wataalamu wa TP naomba mpitie hapa!

    Habari zenu wakubwa! Naomba kueleweshwa maana ya zile namba zinazowekwa kwenye fomu ya assesment mfano 01234 nasubr msaada wako plz!
  9. N

    Walimu wenye diploma wanabaguliwa na wale wenye degree

    Walmu wa diploma ni wanafunz wa kidato cha 6 waliofel mitihan ! Dip ki2 gan? Achen uzoba wenu!
Back
Top Bottom