Recent content by nsharighe

  1. nsharighe

    Kwa hali ilivyo mpaka sasa, ingekuwa ni mimi ningecheza karata moja tu na ndo iliyobaki

    Na Wakuu wa vyombo vya Usalama atawaweka pembeni? Maana hao ndio wame play part kubwa yeye kuwepo pale,
  2. nsharighe

    Makosa ya Rais Samia kwenye Baraza la Mawaziri

    Toka uliposema mtu asie Raia anafaa kuongoza niacha kusoma
  3. nsharighe

    Soon Iko suprise itayomaliza huu ujinga unaondelea

    Kubwa ni kilembwe mlisha unga wa ndele afariki au ang'atuke.. kinyume na hapo hakuna suprised
  4. nsharighe

    GE2025 Kimati: Najivua uanachama wa CHAUMMA, narudi CHADEMA

    Nasubiri yule Jasusi.wa Mbutu akirudi sijui atatuambia nini Takataka yule.
  5. nsharighe

    GE2025 Samia Kuongea na wazee pamoja na wakuu wa Mikoa kesho 27 /08/ 2025

    Huu mwandiko wa Jakaya kabisa,.Diamond jubelee enzi zake.
  6. nsharighe

    GE2025 Kwenye siasa hakuna uadui au urafiki wa kudumu. Lakini kwa Luhaga Mpina hapana.Hajatumwa na CCm

    Mpina nguvu yake ni pale jimboni kwake tu huku kwengine atahujumiwa, hilo analijua. angehama kama alivyofanya kisha agombee ubunge pale pale kuja kwenye Urais kwa jicho la kintelejensia tafsiri yake ni kazi maalum ya Mfumo.
  7. nsharighe

    GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

    Kwaiyo ni itikadi au Itifaki??
  8. nsharighe

    GE2025 Je, Uharam wa ‘Candidacy’ ya Rais Samia hauwezwi kupingwa mahakamani?

    Ukitaka kupiga pesa fungua ilo shauri na pia ukitaka kupotea fungua ilo shauri...
  9. nsharighe

    Hawa Hapa wanaotaka Kumyumbisha Rais Samia pamoja na kuigawa na kuleta vurugu ndani ya CCM

    Katiba iyo iyo unayosema imeandikwa kwa kiswahili ndio intaoa haki zifuatwazo.. 1. Haki ya kuishi.... mind you watu wanatekwa na kuuwawa hadharan.. 2. Haki ya kuabudu.. mind fuckin you Kanisa la gwajiba limefungwa na waumini wanaoigwa lungu. 3. Haki ya uhuru wa maoni na kufanya siasa kwa...
  10. nsharighe

    GE2025 Samia Suluhu anakuwa mgombea wa kwanza kuingia madarakani kupitia CCM bila kupitia mchakato wa Uchaguzi. Je, wameogopa nini kumshindanisha na wenzie?

    Nyerere alipita mchakato wa kushindanishwa na kivuli, kwamba Ndio kwa nyerere na Hapana kwa kivuli, na kuna mabaharia tulikua tunapiga kura kwenye kivuli kwamba hapana, TAFSIRI:: Ndio: Nyerere Hapana: HAPANA MWINGINE YEYOYE ILA NYERERE... IYO CODE, Alimpa Abdul wahid Sykes na wazee wenzake...
  11. nsharighe

    Tetesi: GE2025 Waliopenya kamati za CCM wilaya na walioliwa vichwa

    Mwenye updates za majimbo ya shinyanga mjini na sengerema tafadhari.
Back
Top Bottom