Mpina nguvu yake ni pale jimboni kwake tu huku kwengine atahujumiwa, hilo analijua. angehama kama alivyofanya kisha agombee ubunge pale pale kuja kwenye Urais kwa jicho la kintelejensia tafsiri yake ni kazi maalum ya Mfumo.
Katiba iyo iyo unayosema imeandikwa kwa kiswahili ndio intaoa haki zifuatwazo..
1. Haki ya kuishi.... mind you watu wanatekwa na kuuwawa hadharan..
2. Haki ya kuabudu.. mind fuckin you Kanisa la gwajiba limefungwa na waumini wanaoigwa lungu.
3. Haki ya uhuru wa maoni na kufanya siasa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.