Recent content by nseleko

  1. N

    Waziri wa uchukuzi tafutia ufumbuzi tatizo la usafiri wa mabasi ya mwendokasi

    Kwa kweli hata Mimi kuna wakati nataman kutembea hata kwa miguu kuliko kutumia Huyu mdudu anaitwa mwendo kasi
  2. N

    Waziri Mhagama ajitokeze atoe ufafanuzi jinsi alivyoruhusu wastaafu kukaangwa mafao

    Hivi kipindi wanasema wataisoma namba watu hawakujua tutasoma hadi za Kichina wote siyo???????
  3. N

    Sheria Mpya ya Mafao: Mama aangua kilio ndani ya ofisi za PSSSF!

    Asante Rabi maana Sasa mambo ni wazi wazi daima shetani hana rafiki acha namba zisomeke
  4. N

    Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Tupo vizuri tembeeni vifua mbele we are in right truck ☁😊☁☁😊☁😁☁ ☁😊☁☁😊☁☁☁ ☁😊😊😊😊☁😊☁ ☁😊☁☁😊☁😊☁ ☁😊☁☁😊☁😊☁ 👍✨✨✨ 🎉😊👏😁👏😃🎉 Congratulations!
  5. N

    Kuanzia Leo, nampa Tuzo ya Heshima Pascal Mayalla

    Kwa sasa BINAFSI NAMKUBALI SANA PASCO MAYALLA MWANZONI nilkuwa simuelewi kabisa :mad::confused:
  6. N

    Majina ya mitaa Ujiji: Zitto ataka kuzipiga ukumbini, atulizwa!

    Yaani siasa kweli ni mchezo mchafu
  7. N

    Maoni ya Mhariri: Maagizo ya Rais sawa, lakini kuwe na mwongozo

    Me naona kila kitu kipo vzur
  8. N

    Edward Lowassa uso kwa Uso na Rais Magufuli kwenye Jubilei ya ndoa ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa

    Kweli nmeyakumbuka maneno ya zzt kabwe "usimwamini mwana siasa hata kama ni wa chama chako.!"
Back
Top Bottom