Sio mahusiano mazuri, baba ake alikuwa anasubiri nafasi ya kwenda nchi za ulaya au Marekani kwa lugha ya kambini maarufu kama nchi ya tatu. Wakimbizi wakongo wana huo utaratibu ambao unaratbiwa chini ya IOM na UNHCR. Hivyo kama angetoka nje ya kambi angekosa hiyo furs
Huenda huo uraia alipata yeye tu ila wazazi wake walikuwa bado. Nimefanya kazi huko, wazazi wake walikuwa wako kambini. Na huko haparuhusiwi kufanya maendeleo yoyote.
Mwezi wa July nilifiwa na mama yangu mzazi, mpk sasa hv sijielewi hali yangu.
Kuna muda naona km maisha hayana maana kbs. Naumia mpk nasahau km nipo ndani ya maumivu.
Kulingana na story za babu yangu, ni kuwa licha ya kutumia mizimu lakini walikuwa wanaamini kuwa kuna nguvu ya ziada toka kwa muumba muweza wa yote.
Walikuwa wanaamini kuna nguvu ya ziada iliyosababisha maisha yawepo.
Mi nadhani labda point ilikuwa vile baada ya kuuliza maswali ambayo majibu yake yalishajadiliwa kwenye vikao. Kama angekuwa anahudhuria huenda asingeuliza, ndio maana akaambiwa awe anahudhuria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.