Mtumie mkeo na rafiki yako maelezo hayo kisha we naenda kupiga job brother maana najua kama ni kudukuliwa mke ushadukuliwa sana.
Cha msingi watumie mazungumzo yao then we ondoka uende kazi hawataamini kama umesafiri, watajua umewatega kuwafuma live.
Ikiwa tuanhitaji kuona elimu ya watoto wetu itakuwa bora ni lazima tushiriki sisi wenyewe kuiboresha, ukweli na uhakika ni kuwa elimu ya sasa ni duni kuliko kipindi kingine choye kilichopita, mitaaka inabadilishwa kila siku, mtindo wa ukisiaji matokeo kwa wanafunzi wetu, unabadilika kila uchao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.