MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Awali ya yote ninamshukuru Mwenyezi Mungu mwingine wa rehma.
CHADEMA msilifanyie mzaha jambo hili maana nina uhakika kwa jinsi watu walivyochukizwa na wasaliti wachache walivyotuingiza kwenye gharama za uchaguzi bila sababu yeyote, lazima zitapigwa kura za hasira kiasi kwamba hata msaliti asipate kura za hata moja. Hakuna mwananchi atakayekua tayari kwenda kusimama kupigia kura kwa mtu aliyewasaliti kwa sababu ya hovyo halafu kisha akaitaka tena nafasi hiyo. Huyu mtu ni msaliti na haaminiki tena.
Kwahiyo kuna kila sababu ya CHADEMA kufanya kila namna kua kiongozi huyu Salum Mwalimu anapatia security ya kutosha kabla na wakati wa kuingia uchaguzi, wanaweza kujitokeza maadui wengi watakaotaka kutumia hila za kila namna ili kuhakikisha kua anakosa ushindi huo ulio dhahiri.Hawa watu wana mbinu nyingi sana sio la kubeza hili.
Ifahamike bayana kua Maulidi Mtulia hauziki kabisa Kinondoni, sio kwa sasa hata 2015 yenyewe alishinda tu kwa vile ulikua ni mwavuli wa UKAWA na kuchokwa kwa CCM. Kwa kawaida hiyo 2015 UKAWA wangelala wala asingeshinda na huo ndio ukweli wenyewe. Salum Mwalimu ni mjengaji mzuri wa hoja na anauzika sana bila shaka hilo halina ubishi, apatiwe ulinzi wa kutosha kijana huyu kulingana mahali atakapogombea na aina ya watu atakaopambana nao.
Nafasi yake ya unabu katibu mkuu inatosha tu kumpatia ulinzi, ni wajibu wa chama Chake kufanya hivyo.
CHADEMA msilifanyie mzaha jambo hili maana nina uhakika kwa jinsi watu walivyochukizwa na wasaliti wachache walivyotuingiza kwenye gharama za uchaguzi bila sababu yeyote, lazima zitapigwa kura za hasira kiasi kwamba hata msaliti asipate kura za hata moja. Hakuna mwananchi atakayekua tayari kwenda kusimama kupigia kura kwa mtu aliyewasaliti kwa sababu ya hovyo halafu kisha akaitaka tena nafasi hiyo. Huyu mtu ni msaliti na haaminiki tena.
Kwahiyo kuna kila sababu ya CHADEMA kufanya kila namna kua kiongozi huyu Salum Mwalimu anapatia security ya kutosha kabla na wakati wa kuingia uchaguzi, wanaweza kujitokeza maadui wengi watakaotaka kutumia hila za kila namna ili kuhakikisha kua anakosa ushindi huo ulio dhahiri.Hawa watu wana mbinu nyingi sana sio la kubeza hili.
Ifahamike bayana kua Maulidi Mtulia hauziki kabisa Kinondoni, sio kwa sasa hata 2015 yenyewe alishinda tu kwa vile ulikua ni mwavuli wa UKAWA na kuchokwa kwa CCM. Kwa kawaida hiyo 2015 UKAWA wangelala wala asingeshinda na huo ndio ukweli wenyewe. Salum Mwalimu ni mjengaji mzuri wa hoja na anauzika sana bila shaka hilo halina ubishi, apatiwe ulinzi wa kutosha kijana huyu kulingana mahali atakapogombea na aina ya watu atakaopambana nao.
Nafasi yake ya unabu katibu mkuu inatosha tu kumpatia ulinzi, ni wajibu wa chama Chake kufanya hivyo.