Recent content by noya

  1. N

    CCM njiapanda Urais 2015: Kumpitisha Lowassa au chama kumeguka

    kweli ccm inataka kujiua yenyewe
  2. N

    Je, Edward Lowassa ana njia mbadala?

    hii ni karata ya mwisho kwa ccm wasipompitisha mtu maarufu wamekwisha na mtu maarufu kwa wakati huu ni Lowasa peke yake huyo ndo anaweza kuhimili nguvu ya ukawa vinginevyo wamekwisha.
  3. N

    Lowassa azindua Helikopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa ajili ya Injili

    Aiseeeeeee..unajua haya mambo yamekaa kimapinduzi zaidi..Huyu Gwajima sio mtu wa kawaida..Ana maono makubwa sana!!!!
  4. N

    Lowassa azindua Helikopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa ajili ya Injili

    Lowassa ndio anaingia aiseeeee...nIi SHEEEEDAAAAAH..
  5. N

    Lowassa azindua Helikopta ya Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa ajili ya Injili

    Du huyo aliyeimba kwenye uzinduzi wa hiyo helicopter ni diamond ameimba mimi sio kama wale nimemsikia kwenye ustream yenu du amakweli hilo dude linateka hadi rais mtarajiwa ni shidaaaah
  6. N

    Simshangai Leticia Nyerere

    Huyu mama kakosea njia huu wote ni ulafi wa pesa.
  7. N

    Habib Mchange awaliza wanaCHADEMA Mwanza, washinikiza asiongee, hoja zake zateka kongamano

    kweli ccm hamnazo hii sio hoja ya kuleta hapa.
  8. N

    Ufafanuzi; Waziri Mkuu alilidanganya Bunge na Taifa

    Hawa ndo ccm hawana uchungu kabisa na wananchi kazi yao ni moja tu kuvuna hela ambazo ni jasho la mwananchi.
  9. N

    PICHA:MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA Ndg HECHE AFUNIKA RUJEWA-MBARALI MBEYA.

    Kazi ni moja tu kufukuza ccm iondoke tanzania
  10. N

    Umetutoka Mandela,mambo haya matano ni msingi wa siasa zetu vijana

    Mwigulu na wewe acha siasa zako chafu fanya siasa za kisitaarabu.
  11. N

    Prof Baregu: Siungi Mkono Maamuzi juu ya Zitto ila "SULUHU" ni njema

    mjadala wa zito ulishafungwa.
  12. N

    CHADEMA yazidi kung'aa Bukoba Mjini

    :A S-confused1: hakuna kulala mpaka kieleweke.
  13. N

    Polisi, aibu hii mpaka lini? Mkenya wa Dk. Ulimboka afichua mapya kortini Dar

    kamanda kova's move na mwehu wake kutoka kenya
Back
Top Bottom