Babu Clifford (R I P)alikushauri kama vile sio binadamu mwenye conscience.
Imagine kuzaa watoto bila mpangilio ili eti kumfunga mama yao kwa mnyororo mfupi.
Pengine alishapata Safari lager zake mbili tatu au wewe ndio hukumuelewa.
Kutumia resources na fursa inaweza kuwa na tafsri nyingine...
A government official was killed in a car crash because his driver was speeding to beat the two o’clock
Sunday deadline for government .vehicles in those days
Welcome again to the Dubai of Arusha.
Imani huwa inaji manifest katika matendo ambayo yanaweza kupimwa kwa kanuni na sheria za binadamu ili kuamuliwa kama yanafaa au la.
Jihad au Crusade ni manifestation ya imani.
Kuna physical/material world na spiritual world(ulimwengu wa kimwili/maada na ulimwengu wa kiroho.)
Kwa akili za kawaida sayansi inaonekana kuwa na tija zaidi ya imani kwa kuwa imejikita kwenye kuuchambua ulimwengu wa kimwili na maada,
Ulimwengu wa kiroho unaelezeka kwa imani tu.
Kuna physical/material world na spiritual world(ulimwengu wa kimwili/maada na ulimwengu wa kiroho.
Kwa akili za kawaida sayansi inaonekana kuwa na tija zaidi ya imani kwa kuwa imejikita kwenye kuuchambua ulimwengu wa kimwili na maada,
Ulimwengu wa kiroho unaelezeka kwa imani tu.
Chaos ndogo ndogo, nyingi, na zenye kusambazwa maeneo yote ya nchi zinaweza kuleta matokeo yasiyotarajiwa.
Na hizi zaweza fanywa na marika yote.
Umri ni kikwazo tu kwa baadhi ya watu na hii sio tena dunia ya nabii Musa mpaka iongozwe na mtu mmoja au wawili wenye fimbo ya uchawi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.