Recent content by Nowonmai

  1. Nowonmai

    Trump: Papa Leo XIV ni dhaifu, simshabikii

    “If people treat me fairly I treat them fairly. But if they screw me, I screw back with spades”(Donald Trump,1984)
  2. Nowonmai

    Kama kila kitu kina faida na hasara zake. Je, kuna faida gani za kuwa masikini?

    In this life what matters foremostly is survival. Whether you are wealthy or poor, you are only successful if you survive.
  3. Nowonmai

    Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu

    Nigeria inaweza kuongoza kwa uwingi wa diploma mills duniani
  4. Nowonmai

    Usiishi na Mwanamke Mzuri kisasa. Mzalishe chapuchapu angalau watoto wawili, watatu. Huna hasara hata mkiachana

    Babu Clifford (R I P)alikushauri kama vile sio binadamu mwenye conscience. Imagine kuzaa watoto bila mpangilio ili eti kumfunga mama yao kwa mnyororo mfupi. Pengine alishapata Safari lager zake mbili tatu au wewe ndio hukumuelewa. Kutumia resources na fursa inaweza kuwa na tafsri nyingine...
  5. Nowonmai

    Mbunge Jackson Kiswaga: Watanzania mkubali Serikali imeongeza bei za Mafuta kidogo. Punguzeni mambo ya Mitandao, hayana maana

    A government official was killed in a car crash because his driver was speeding to beat the two o’clock Sunday deadline for government .vehicles in those days Welcome again to the Dubai of Arusha.
  6. Nowonmai

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Imani huwa inaji manifest katika matendo ambayo yanaweza kupimwa kwa kanuni na sheria za binadamu ili kuamuliwa kama yanafaa au la. Jihad au Crusade ni manifestation ya imani.
  7. Nowonmai

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Ulimwengu wa kiroho uko mawazoni pa mtu hivyo unaelezeka kwa abstract concepts tu kama imani, upendo, neema, wema, ubaya n.k n.k.
  8. Nowonmai

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Kwenye imani uwngo na ukweli ni subjective. Hakuna test ya uwongo na ukweli katika imani inayokubalika na majority.
  9. Nowonmai

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Kuna physical/material world na spiritual world(ulimwengu wa kimwili/maada na ulimwengu wa kiroho.) Kwa akili za kawaida sayansi inaonekana kuwa na tija zaidi ya imani kwa kuwa imejikita kwenye kuuchambua ulimwengu wa kimwili na maada, Ulimwengu wa kiroho unaelezeka kwa imani tu.
  10. Nowonmai

    Habari za Mungu zilianzishwa na Waamini Mungu, Halafu wanaipa Sayansi mzigo wa kutoa uthibitisho wa habari ambazo haziku anzishwa na Sayansi

    Kuna physical/material world na spiritual world(ulimwengu wa kimwili/maada na ulimwengu wa kiroho. Kwa akili za kawaida sayansi inaonekana kuwa na tija zaidi ya imani kwa kuwa imejikita kwenye kuuchambua ulimwengu wa kimwili na maada, Ulimwengu wa kiroho unaelezeka kwa imani tu.
  11. Nowonmai

    Shuhudieni Mambo Makubwa Mazuri ya Bonge wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo! Je, Hapa Kwetu Alifanya Nini?

    ...linked to lucrative state contracts! Hiyo sio charity mkuu Pascal. Ni rushwa.
  12. Nowonmai

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    Chaos ndogo ndogo, nyingi, na zenye kusambazwa maeneo yote ya nchi zinaweza kuleta matokeo yasiyotarajiwa. Na hizi zaweza fanywa na marika yote. Umri ni kikwazo tu kwa baadhi ya watu na hii sio tena dunia ya nabii Musa mpaka iongozwe na mtu mmoja au wawili wenye fimbo ya uchawi.
  13. Nowonmai

    Magufuli na Makonda watawaweza 'watoto wa mjini'?

    Ni game tu mkuu. Wanaocheza vizuri wataendelea kuwepo na matutusa lazima watupwe kando. Watoto wa mjini wanalijua vizuri zaidi hili game.
Back
Top Bottom