Nahisi nina tatizo la nguvu za kiume. Hata round mbili siendi tena.
naomba msaada jamani.
halafu mapigo ya moyo pia yako chini sana kuliko kawaida. Naomba tuendelee kusaidiana wazee najua tushasaidiana mengi
I dont believe in my fellow human again.
Nilianza na Dr. slaa, akasaliti kambi!
Siasa hasa z kiafrika sio za kuamini kwa 100%.
wakiwekewa dau mezani wanabadilika
Nimejaa hasira asubuhi asubuhi yani wakuu,
Naombeni ushauri japo naweza kuchukua maamuzi mengine.
Huyu mwanamke nimefahamiana nae Toka mwezi wa 4 mwaka huu na alikua anaishi.mbali sana na mimi.
Baada ya.mda kwenda tumekutana mwezi wa 8 tarehe moja, tukapima afya tukawa tuko vyema tu.
siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.