Dah umenikumbusha ktambo sana ni miaka kama tisa imepita niliwahi kukutana na scenario kama yako lakn mm demu alinichana kabisa akuwa yeye alizaliwa nao na kuna mdogo wake kwa pembeni alkuwa yupo nae akasema hata huyu mdogo wangu kazaliwa nao, aisee nilichoka sanaa sitasahau ile moment katika...
Ufikiri hafifu wa kudhania kuwa kujua lugha ya kingereza ndio maendeleo, Raisi wa China alikuja bongo miaka flani na akahutubia Tanzania kwa kichina.
Je ni wabongo wangapi wanajua kichina? Raisi yule hufanya hotuba yake kwa lugha ya kichina popote pale duniani. Unajua kwann? UTAMBULISHO...
Kama kweli huna pesa mwambie ukweli kwamba huna pesa, ila kama unazo na una uwezo wa kumsaidia lakn bado ukakataa sio sawa, huwezi kusaidia kila mtu katika hii dunia lakn inapotokea nafasi ya kusaidia na umethibitisha kweli muombaji ana changamoto mi naona saidia tu.
personally mm nikisaidia...
Sasa kama huogopi ukimwi utaogopa nn kingne. Hilo dubwana liskie tu kwa watu lakini linatisha sana, hayo mengne tunaishi nayo. Pia kwa mdomoni mwanamke atawahi kuona dalili na hvyo kuwahi treatment tofauti na kwenye mbususu utakuta mdada anakata miezi na hajui kama anausambaza mpk wateja wake...
Hapo kwenye BLOW JOB (bj) naona kuna usalama wa afya kwa mwanaume. Huduma nzuri sana hii hasa kwa sisi tusiopenda kuchomeka kila tundu na hatupendelei sabuni ila upwiru ni mzto.
Mleta mada tupe details kidogo kuhusu huduma hii na gharama zake wanafanyaje, mikoani hamna hii ktu.
Mi nilienda kwa mwanang mmoja hivi nafika kwake picha linaanza nakuta kinu kidogo cha kutwangia vitunguu saumu na viungo, nikiangalia ukutani nakuta ungo umetundikwa. Mshkaji najua hajaoa wala nn asa vile vtu vya nn?
(Of course hvo vtu ni useful ila kwa ghetto la mwanaume ambae hajaoa naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.