Recent content by nover

  1. nover

    Nafasi ya ajira; Kazi ya kuuza mabegi

    Ntumie msg ya kawaida kama izo sifa nilizotaja unazo
  2. nover

    Nafasi ya ajira; Kazi ya kuuza mabegi

    Shukran ndugu
  3. nover

    Nafasi ya ajira; Kazi ya kuuza mabegi

    Mwanza maeneo mjini
  4. nover

    Nafasi ya ajira; Kazi ya kuuza mabegi

    Habari wadau. Nina ofisi inayoshughulika na uuzaji mabegi ya nguo pamoja na mgongoni jijini Mwanza. Naitaji kijana wakusaidiana nae majukukumu ya dukani Sifa; 1) awe anajua kusoma, kuandika na hesabu za hapa na pale 2) Umri asizidi miaka 25 3) jinsia awe wakiume 4) Awe...
  5. nover

    Ni nini hatma ya Pesa zetu zilizotafunwa na zinazotafunwa na Hawa wabunge 19? Watanzania tumefanywa wajinga kiasi hiki?

    Kwani hii katiba tuliyonayo ndo inaruhusu hawa wabunge waendelee kuwepo bungeni??? Ishu nadhani ni kueshimu utawala wa kisheria ... hiyo katiba mpya ata ikipatikana kama haieshimiwi na wanaoivunja hawachukiliwi hatua apo amna faida yoyote ndugu yangu
  6. nover

    Waziri TAMISEMI umerudisha machinga barabarani Mwanza

    Ile changamoto ya machinga kuziba barabara naona imeanza kurudi upya. Leo nimepita mitaa ya Liberty Mwanza hapafai tena kumerudi kama zamani. Wananchi wanadai kua mgambo wa jiji ni kama wameingia woga na wengine wana mgomo baridi baada ya lile sakata la juzi na namna waziri TAMISEMI...
  7. nover

    Msaada: Nina tatizo kwenye mbegu zangu za kiume

    aise pole sana Mungu akupe rehema zake
  8. nover

    Naomba ushauri wa namna ya kutatua tatizo la kushindwa kujiamini

    Umri umeenda ndugu yangu na majukumu pia yanabana sana
  9. nover

    Naomba ushauri wa namna ya kutatua tatizo la kushindwa kujiamini

    Hii hali ngumu kweli... nashukuru umenijulisha ni kitu unaweza kuondokana nacho
Back
Top Bottom