Kuna hii ishu ya car key programming/locksmith yan kuprogram funguo za magari aisee hii kitu ina pesa hatari japo wanaijua watu wachache sana pia course yake hadi South Africa nawakilisha mweny swali aulize
Umenikumbusha mkuu kuna paka mmoja hivi mkubwa nilipewa kama zawadi na mmama mmoja wa kijeruman akawa anasema mbwa mzuri sana anafaa kwa pambo nikamchukua yule paka alikuwa anarusha mashambuliz akiona watu mfano umekaa unaangalia TV unashangaa paka huyu hapa kakurukia akuparue mda mwingne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.