Kwa mujibu wako ww kuwa na mifugo na mashamba ndio maendeleo?
Ata zama za sasa ivi kuna watu wana mifugo na mashamba na pia kuna watu hawana mifugo wala mashamba ila wana wake zaid ya mmja na watoto kama wote na wala hawana majina ya mababu zetu wala mila zao.
Ingelikuwa iyo ndo factor pekee...
kwanin hao mababu zetu ambao walikuwa wanafuata mila na taratibu zao pia hawakupata ayo maendeleo? Je, kufuata mila zetu za asili ndio biggest factor pekee ya kupata maendeleo?
Hii issue ni ukiwa una sign up as new account so ktk ile hatua ya kusubir verification code ndo haiji, ila ukiwa tyr una account Yes, ukiwaasha VPN unatumia as usual.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.