Recent content by NostradamusEstrademe

  1. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Je, Mgawanyo wa Vyuo usio na usawa unalenga kuminya baadhi ya mikoa au kanda na kurahisishia wengine kuingia kwenye taasisi, idara, n.k?

    Ndugu zangu mfano think2 Sumaye ameshawahi kukiri walipokosea.Walianzisha vyuo vikuu vingi kama utitiri bila kuzingatia nafasi za ajira. Vyuo vimekuwa vingi mno ni ajabu eti madaktari na walimu wanakosa kazi?. Tulikosea sana kuisahau elimu ya vitendo yaani vyuo vya ufundi.mfano VETA. Sina...
  2. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

    Hata avatar name inaweza akisi tabia ya mtu Tlaatlaa yaani tararira
  3. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Je, Mgawanyo wa Vyuo usio na usawa unalenga kuminya baadhi ya mikoa au kanda na kurahisishia wengine kuingia kwenye taasisi, idara, n.k?

    Mwamko wa kujenga chuo sehemu wakati mwingine inatokana na tabia ya watu wa sehemu hiyo. Watu wanaendekeza kucheza ngoma na ushirikina unategemea nini. Pia msije dhani eti chuo kikijengwa sehemu flani wakazi wa eneo hilo watapata fursa kuingia kusoma kiulaini. Kuingia chuo ni lazima uwe na sifa...
  4. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Je, Mgawanyo wa Vyuo usio na usawa unalenga kuminya baadhi ya mikoa au kanda na kurahisishia wengine kuingia kwenye taasisi, idara, n.k?

    Zanzibar chuo kikuu kilikuwepo toka mama akiwa mdogo.Msimsingizie mama wa watu.
  5. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya dunià kutoka Tanzania

    Jina lenyewe betting machine mnashangaa nini? Kumjibu mtu wa hivi?
  6. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: CCM haina watu wezi, hizo ni tabia za mtu binafsi

    An empty stomach is not a good political advisor.
  7. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

    Uzi wa hovyo unaostahili tuzo toka mwaka uanze.
  8. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi hakuna muhalifu atakaetoroka nchi

    Hivi jina la ma bwanyenye la enzi ya ujamaa bado linatumika?.Sasa hao unaowaita ma bwanyenye ndio unaowapelekeaga bakuli kuomba msaada toka enzi za zidumu fikra za nanilino hadi sasa.
  9. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Wewe ni ke au me?
  10. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Nani atuambie maana ya neno waja leo warudi leo?
  11. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Hiyo number2 hata mji wa Moshi ikifika saa2 usiku huoni mtu wachaga wote wanapanda milimani.
  12. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Weka neno la kiingereza linalokusumbua kutamka usaidiwe hapa

    Kwashorkor Pneumonia Puncture
  13. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Ghana: Kitambulisho cha Taifa kuanza kutoa pesa kwenye ATM na kufanya malipo mitandaoni

    Hahaha hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄 nilitaka kuandika kitu ila Kibatala amesafiri nje ya nchi
Back
Top Bottom