Dini ya kiislam waliandaa mazingira mapema mno dini yao kutochezewa hovyo.
Mmeshawahi sikia muislam akijiita nabii?.Akitokea shingo yake halali kwao.
Mmeshawahi sikia uislam ukishabikia shoga aruhusiwe kuwa imam wa msikiti?.
Hii ilitokea Capetown Africa Kusini.Imamu alitaka mashoga...
Kwa uchunguzi wangu nimegundua kuna vyuo vinavyofundisha teolojia kwa madhehebu ya kiluteri mfano kiko Makumira Arusha.
Wakatoliki Kipalapala n.k.
Sijawahi sikia chuo cha teolojia cha walokole.
Hawa jamaa wanapiga kelele sana ilimradi mtu abarikiwe kujua kuongea.
Mbona YESU wakati analeta...
Punguzeni shobo mbona hamkuhoji kipindi ni mbunge na waziri.
Kuna dhambi gani ilimradi kaingia harusini holini kwa kadi kaketi viti vya waalikwa.
Baadae kakaribishwa meza kuu na mwenyekiti wa kamati mnahoji nini?
Kwa mtindo huu siku Hussein Bashe na Kinana wakiwania meza kuu mtahoji uraia wao...
Kwa hili nakubaliana na wewe.
Nimekuwa mbali kikazi kwa miaka 18 japo nilikuwa nakuja kuja kila mara nikiwa off.
Namshukuru MUNGU kwa kweli nina mwanamke anajua kusimamia rasilimali na kuanza mpya.
Nimeshastaafu kwa mujibu wa sheria sasa nimerudi tuyaendeshe maisha.
Pamoja na yote nimegundua...
Ndugu zangu mfano think2 Sumaye ameshawahi kukiri walipokosea.Walianzisha vyuo vikuu vingi kama utitiri bila kuzingatia nafasi za ajira.
Vyuo vimekuwa vingi mno ni ajabu eti madaktari na walimu wanakosa kazi?.
Tulikosea sana kuisahau elimu ya vitendo yaani vyuo vya ufundi.mfano VETA. Sina...
Mwamko wa kujenga chuo sehemu wakati mwingine inatokana na tabia ya watu wa sehemu hiyo.
Watu wanaendekeza kucheza ngoma na ushirikina unategemea nini.
Pia msije dhani eti chuo kikijengwa sehemu flani wakazi wa eneo hilo watapata fursa kuingia kusoma kiulaini.
Kuingia chuo ni lazima uwe na sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.