Recent content by NostradamusEstrademe

  1. NostradamusEstrademe

    Rais Samia akutana na rafiki yake waliyesoma shule ya Msingi na sekondari

    husuda na wivu wewe utakuwa ni mchawi Magufuli mwenyewe alikuwa anakwenda vijiweni kuwaona washikaji Raisi naye ni binadamu hatokei toka jamii ya malaika ni kutoka kwa watu unaweza kuta walikuwa wanacheza wote kombolela enzi za utoto
  2. NostradamusEstrademe

    Misemo maridhawa ya kiswahili

    Nguo ya kuazima haisetiri matako
  3. NostradamusEstrademe

    Uzi maalumu kuwaenzi Waandishi wakongwe kwa njia ya kuweka misemo au nukuu maarufu kupitia vitabu vyao

    Dunia ni uwanja wa fujo kuna fujo za kisiasa na kidini.YESU na mtume MOHAMED walikuja na fujo zao kuwaongoa watu na wakaondoka................prof E Kezilahabi
  4. NostradamusEstrademe

    Mambo ya kuzingatia unapotumia usafiri wa bodaboda

    Ongeza hii ya tatu 3.Ukipanda bodaboda hakikisha haendi mwendo wa kasi sana uwe mwendo wa kawaida tu.Hata kama una haraka zako utakuwa ulijichelesha mwenyewe.Kama ni sehemu za mashimo mdanganye boda una operation ya miguu una vyuma ndani vitachomoka kama nauli ni 2000 muambie utamuongezea buku...
  5. NostradamusEstrademe

    Mwanaume mke wako akija kukulalamikia kuhusu mfanyakazi ambaye hamtaki fanya uchunguzi kwanza

    Asikukatishe tamaa mbona hii sio ndefu.Stori kama hii haiwezi kuwa fupi.Huyu anayekukatisha tamaa anaonekana hata enzi zake za shule alikuwa mvivu wa kusoma
  6. NostradamusEstrademe

    Uliza jambo lolote kuhusu Bahari na safari na vimbwanga vya Baharini

    Ni kweli ukae ukijua bahari kwa maana maji ni asilimia 78 iliyobaki ni ardhi zaidi ya yote ukubwa wa bahari ya pacific peke yake yake ni kubwa kuliko mabara yote duniani ukiyaunganisha kwa ukubwa wake
  7. NostradamusEstrademe

    Serikali ipunguze muda wa kustaafu kwa watumishi

    Hili halitapunguza ukosefu wa ajira kwa asilimia 100.Idadi ya wanaostaafu ni wachache kuliko wanaomaliza vyuo
  8. NostradamusEstrademe

    PICHA: Nchi kama hii hata magonjwa utayasikia redioni tu

    Crimea inaonekana hujatembea aise Hii Lushoto na Upareni ni kitu ya kawaida
  9. NostradamusEstrademe

    Asha Mkwizu Hauli-Na kesi ya kumuua hawara wa mumewe

    Alimwambia kwa kipare cheimie ni kuthotholwa vigingi he mdhuti Maana yake kilichobaki ni wewe kuingizwa vidole mku????****ni Hii ni dharau kubwa mno unachukua mume wa mtu na bado ukamfuata mwenye mali hadi nyumbani na huko nyumbani unakwena kumtukana Ningekuwa judge nisingemhukumu kunyongwa...
  10. NostradamusEstrademe

    Asha Mkwizu Hauli-Na kesi ya kumuua hawara wa mumewe

    Kwa taarifa yenu Asha alitoka anapeta mtaani ila sasa ni mzee
  11. NostradamusEstrademe

    Hivi kuna ushahidi gani wa kwamba mimea haipati maumivu inapokatwa?

    Kwa tuanze definition ya Irritability Irritability is the ability to respond to stimulus Kwa wanyama wote hasa mammalia kama sisi binadamu iko very fast sababu tuna pain receptors,nerve na ubongo. Irritability ya mimea ukweli ipo lakini iko very slow.Mfano ukichukua mmea ukauweka kwenye box hilo...
  12. NostradamusEstrademe

    Constantine Oswald Millinga: Mmoja wa waasisi 17 wa TANU mwaka 1954

    acha uchochezi mbona wagalatia walikuwepo kina Mareale,Abel Maranga,John Rupia,Germano Pacha,Kunambi,Kasela Bantu
  13. NostradamusEstrademe

    ATC Rekebisheni hili kabla hapajawa jioni

    Kampuni yetu pendwa yenye ndege tulizonunua wenyewe kwa kodi zetu kuna mambo inatakiwa warekebishe kidogo ili waende sambamba na ushindani wa kibiashara. 1.Kuambiwa ndege imeahirisha safari au itachelewa kuondoka kwao ni jambo la kawaida 2.Ndege hata kama imeahirishwa hawana utaratibu wa...
Back
Top Bottom