Ndugu zangu mfano think2 Sumaye ameshawahi kukiri walipokosea.Walianzisha vyuo vikuu vingi kama utitiri bila kuzingatia nafasi za ajira.
Vyuo vimekuwa vingi mno ni ajabu eti madaktari na walimu wanakosa kazi?.
Tulikosea sana kuisahau elimu ya vitendo yaani vyuo vya ufundi.mfano VETA. Sina...
Mwamko wa kujenga chuo sehemu wakati mwingine inatokana na tabia ya watu wa sehemu hiyo.
Watu wanaendekeza kucheza ngoma na ushirikina unategemea nini.
Pia msije dhani eti chuo kikijengwa sehemu flani wakazi wa eneo hilo watapata fursa kuingia kusoma kiulaini.
Kuingia chuo ni lazima uwe na sifa...
Hivi jina la ma bwanyenye la enzi ya ujamaa bado linatumika?.Sasa hao unaowaita ma bwanyenye ndio unaowapelekeaga bakuli kuomba msaada toka enzi za zidumu fikra za nanilino hadi sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.