Wamasai wapo nenda pale Makuyuni au junction ya kwenda Babati na Karatu kwa mbele kidogo kama unakwenda Arusha.Na ukitokea Arusha mbele ya Monduli hapo katikati.
Arusha mjini pia wapo
Akitaka hili lifanikiwe hatua ya kwanza kabisa wabunge wawe wanakatwa kodi PAYE kwenye mishahara yao.
Halafu baada ya miaka mi5 wasipewe zile millioni500 na VX wakatwe PPF na NSSF kama wafanyakazi wengine.
Mishahara ya wafanyakazi iangaliwe upya.
Kila kiongozi wa umma na wabunge waweke mali zao...
Askari wasomi wako mahakamani hawa wanaopita kukamata gongo ni wale ambao hawakufaulu vizuri darasani.
Bila shaka utakuwa wewe ni afande vipi bado hujastaafu aise
Nakuunga mkono yuko mama mmoja mchaga tuko naye jirani.Mama huyu ana depot kubwa sehemu yote hii tuliyopo yeye ndio ana supply bia na vinywaji baridi.Ana tenda za harusi na upambaji.
Ana toyota hillut double cabin na magari mengine.
Ila ni mwalimu amegoma kuacha kazi ya kufundisha primary...
Kuhusu walimu sio kweli
Walimu wanajua shida yao inayowakabili na ndio maana wanatumia akili nyingi sana kujiwekea malengo.
Ajabu sasa mwalimu huyo unayeona na kumdharau akistaafu unakuta ana standard life kama wewe unakuta amejenga nyumba yake ya kuishi.Kwa wengine hata na usafiri hata kama ni...
Jana nilikutana na raia mmoja wa Misri akanifafanulia mambo ambayo sikuyajua.
Mimi kwa mawazo yangu nilidhani hakuna wakristo Misri ila aliniambia wapo wengi tu japo idadi kubwa ni waislam na yeye mwenyewe ni mkristo. Akaniambia hata Iraq kwenyewe kuna wakristo hata Tariq Azizi aliyekuwa waziri...
Halafu upande mwingine wa shillingi ni ajabu kwa kweli halafu moja ya nchi zenye utajiri mkubwa wa mali asili ni Tanzania.
Kwa nchi za Africa mashariki chukua Burundi,Rwanda,Kenya,Uganda,Tanzania sisi tunaongoza kwa rasilimali misitu,madini,mbuga za wanyama.
Ajabu ni masikini ukiiachia Burundi...
hili nalijua sana na najua nilichofanya
Nia yangu nikukuonyesha kuwa usipite kwenye basi tu unaona nyumba za ajabu uka conclude umasikini wa nchi nzima.
Tembea interior zaidi
Hata kwenye statistics utafiti wako haujakaa sawa ulichofanya ni random sampling
Na inategemea wakati unafanya hiyo...
Ukitaka kujua utamu wa dafu hadi uchokonoe ndani.
Huwezi kupita ukiwa ndani ya basi uka judge umasikini au utajiri wa sehemu.
Definition ya utajiri au umasikini ina vigezo vingi mno hata Marekani tunasema ni taifa lililoendelea lakini kuna sehemu ukipita vijijini hata baadhi ya miji kama...
Sio chumvi nyingi tu humu watu shule zimepanda huwezi amini.
Humu kuna wabunge,mawaziri,wakurugenzi,wakuu wa usalama,wakuu majeshi
Sasa ukitaka uwe hoi ubahatike uone jina lake la kificho unaweza ukazimia
aise nakuunga mkono mawazo kama haya ndio yanaleta umasikini ni ya kifala mno
Ndio maana mzee Makamba alishawahi piga dongo masikini haingii mbinguni
Ukiangalia sana masikini wengi wana roho mbaya sana
Bila shaka mungu ana makusudi yake
Huyu jamaa ka comment pumba sana na mara nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.