Recent content by NostradamusEstrademe

  1. NostradamusEstrademe

    Binti wa Dkt. Wilbert Kleruu atoa ya moyoni

    halafu kuna watu na raisi wa nchi flani wanataka Nyerere atangazwe mtakatifu. Labda mtakatifu wa siasa ila sio wa dini na dhehebu ninalolijua
  2. NostradamusEstrademe

    Imekuwa ni nadra sana kukuta waislam katika makabila haya

    Wamasai wapo nenda pale Makuyuni au junction ya kwenda Babati na Karatu kwa mbele kidogo kama unakwenda Arusha.Na ukitokea Arusha mbele ya Monduli hapo katikati. Arusha mjini pia wapo
  3. NostradamusEstrademe

    Ridhiwani Kikwete: Siri za serikali zinavuja mtandaoni, hii ni kuonyesha baadhi ya Watumishi umma hawana maadili

    Akitaka hili lifanikiwe hatua ya kwanza kabisa wabunge wawe wanakatwa kodi PAYE kwenye mishahara yao. Halafu baada ya miaka mi5 wasipewe zile millioni500 na VX wakatwe PPF na NSSF kama wafanyakazi wengine. Mishahara ya wafanyakazi iangaliwe upya. Kila kiongozi wa umma na wabunge waweke mali zao...
  4. NostradamusEstrademe

    Yawezekana Haya Ndiyo Makundi Katika Utumishi wa Umma yaliyo Nyuma kwa Kila Kitu

    Askari wasomi wako mahakamani hawa wanaopita kukamata gongo ni wale ambao hawakufaulu vizuri darasani. Bila shaka utakuwa wewe ni afande vipi bado hujastaafu aise
  5. NostradamusEstrademe

    Yawezekana Haya Ndiyo Makundi Katika Utumishi wa Umma yaliyo Nyuma kwa Kila Kitu

    Nakuunga mkono yuko mama mmoja mchaga tuko naye jirani.Mama huyu ana depot kubwa sehemu yote hii tuliyopo yeye ndio ana supply bia na vinywaji baridi.Ana tenda za harusi na upambaji. Ana toyota hillut double cabin na magari mengine. Ila ni mwalimu amegoma kuacha kazi ya kufundisha primary...
  6. NostradamusEstrademe

    Yawezekana Haya Ndiyo Makundi Katika Utumishi wa Umma yaliyo Nyuma kwa Kila Kitu

    Kuhusu walimu sio kweli Walimu wanajua shida yao inayowakabili na ndio maana wanatumia akili nyingi sana kujiwekea malengo. Ajabu sasa mwalimu huyo unayeona na kumdharau akistaafu unakuta ana standard life kama wewe unakuta amejenga nyumba yake ya kuishi.Kwa wengine hata na usafiri hata kama ni...
  7. NostradamusEstrademe

    Kuitwa hili neno sio tusi. Dini zetu zote tupendani tunamuabudu Mungu mmoja tofauti ni njia za kuabudu

    Jana nilikutana na raia mmoja wa Misri akanifafanulia mambo ambayo sikuyajua. Mimi kwa mawazo yangu nilidhani hakuna wakristo Misri ila aliniambia wapo wengi tu japo idadi kubwa ni waislam na yeye mwenyewe ni mkristo. Akaniambia hata Iraq kwenyewe kuna wakristo hata Tariq Azizi aliyekuwa waziri...
  8. NostradamusEstrademe

    Ila jamani nchi yetu ni masikini, khaa

    Halafu upande mwingine wa shillingi ni ajabu kwa kweli halafu moja ya nchi zenye utajiri mkubwa wa mali asili ni Tanzania. Kwa nchi za Africa mashariki chukua Burundi,Rwanda,Kenya,Uganda,Tanzania sisi tunaongoza kwa rasilimali misitu,madini,mbuga za wanyama. Ajabu ni masikini ukiiachia Burundi...
  9. NostradamusEstrademe

    Ila jamani nchi yetu ni masikini, khaa

    hili nalijua sana na najua nilichofanya Nia yangu nikukuonyesha kuwa usipite kwenye basi tu unaona nyumba za ajabu uka conclude umasikini wa nchi nzima. Tembea interior zaidi Hata kwenye statistics utafiti wako haujakaa sawa ulichofanya ni random sampling Na inategemea wakati unafanya hiyo...
  10. NostradamusEstrademe

    Ila jamani nchi yetu ni masikini, khaa

    Ukitaka kujua utamu wa dafu hadi uchokonoe ndani. Huwezi kupita ukiwa ndani ya basi uka judge umasikini au utajiri wa sehemu. Definition ya utajiri au umasikini ina vigezo vingi mno hata Marekani tunasema ni taifa lililoendelea lakini kuna sehemu ukipita vijijini hata baadhi ya miji kama...
  11. NostradamusEstrademe

    TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

    Sio chumvi nyingi tu humu watu shule zimepanda huwezi amini. Humu kuna wabunge,mawaziri,wakurugenzi,wakuu wa usalama,wakuu majeshi Sasa ukitaka uwe hoi ubahatike uone jina lake la kificho unaweza ukazimia
  12. NostradamusEstrademe

    Maisha ya Dkt. Mpango baada ya kustaafu; Anamiliki shamba la mfano wa kuigwa

    aise nakuunga mkono mawazo kama haya ndio yanaleta umasikini ni ya kifala mno Ndio maana mzee Makamba alishawahi piga dongo masikini haingii mbinguni Ukiangalia sana masikini wengi wana roho mbaya sana Bila shaka mungu ana makusudi yake Huyu jamaa ka comment pumba sana na mara nyingi...
Back
Top Bottom