Nisamehe nimetoka nje ya mada bro... kama unaweza nijuza (tujuza)....nilisikia mahali na nikasoma mahali kuhusu NYOKA (mr wise), ya kuwa maeneo wanapokuwepo nyoka, ni eneo salama kwa majanga yoyote ya kidunia,,, yaani nie eneo ambalo, tetemeko, majanga ya moto.....yaani ni eneo salama....bado...