wao wawili ndio wanaweza kusuluhisha tofauti zao dada, wa 3 ni shetani. mkishaanza kutoa migogoro yenu nje ya pembe 4 za nyumba yenu, imeisha hiyo. hatujui upande wa pili, ila kama imefikia hapo na mwanamke ndio anaomba TALAKA, amalize tuu asonge mbele mradi asimamie mambo ya msingi, hasa HAKI...