Recent content by nosspass

  1. nosspass

    Kama unataka ufanikiwe maishani wape wanyama chakula

    Nisamehe nimetoka nje ya mada bro... kama unaweza nijuza (tujuza)....nilisikia mahali na nikasoma mahali kuhusu NYOKA (mr wise), ya kuwa maeneo wanapokuwepo nyoka, ni eneo salama kwa majanga yoyote ya kidunia,,, yaani nie eneo ambalo, tetemeko, majanga ya moto.....yaani ni eneo salama....bado...
  2. nosspass

    Hivi kuwa single kwa muda mrefu kunaweza kusababisha mtu kuogopa kufanya mapenzi

    sasa kama unapiga PUNYETO demu wa kazi gani.....pumbafu wewe.....
  3. nosspass

    Jeshi la Polisi latoa tamko baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti Uwanja wa Taifa

    kuna watu wanaumia sana simba kushinda ........fujo sio jadi yetu......
  4. nosspass

    Baba yangu alipomuacha mama akatafuta mwanamke mwingine nilimchukia sana wakati ule,hivi Sasa ndiyo naelewa

    Ndivyo walivyoumbwa, na hawatabadilika....kizuri watoto wakikua wanakuwa wapole hasa wa KIUME, wa kike imekula kwa BASHA wake.......sababu maisha yake ni machale machale ya kuachwa....so wanakuwa na wivu usio na kichwa wala miguu....
  5. nosspass

    Je, unaweza kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hii ?

    hujajibu swali!!! kupendana na kunaniliu ni kitu mbili tofauti......so jibu swali.....na je alifurahia???
  6. nosspass

    Kijana fahamu madhara ya punyeto na mtu anayejichua kwa muda mrefu

    Punyeto na iheshimiwe,,,,, ingekuwa na madhara wale wote tuliosoma kule KB 1980's rombo, tungekuwa waathirika woteeee, bado tunapuyanga hatariiii. Msiwatishe vijana.......nasema hivi.....IPIGENI PUNYETO, inaboresha afya ya AKILI pia.
  7. nosspass

    Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

    wanawake tena...!!!! duh....
  8. nosspass

    Kikongwe miaka 72 auawa na mkwe wake Moshi,mwingine ajinyonga kwa msongo wa mawazo

    Wapumzike kwa amani, majeruhi wapate nafuu mapema, ila yule muuwaji najua haponi na umahututi uliomkuta, watakutana na baba mkwe uko ahera, wakiamua kuliendeleza poa tu.
  9. nosspass

    DOKEZO Responded Walimu wa Shule ya Green Acres (Dar) wanaotuhumiwa kulawiti na kuwadhalilisha Wanafunzi, wanalindwa na nani?

    iko haja ya sheria ya KUHASIWA wanaolawiti watoto......anahasiwa tu.......then arudi mtaani...
  10. nosspass

    DOKEZO Responded Walimu wa Shule ya Green Acres (Dar) wanaotuhumiwa kulawiti na kuwadhalilisha Wanafunzi, wanalindwa na nani?

    kuwateka tu, then anasuguliwa nje ndani mpaka akate mauno....shenzi sana...hii kitu inaumiza sana. Natamani wazazi wawatoe watoto wao hapo iwe fundisho.
  11. nosspass

    Kabla hujatukana, kudhalilisha au kushuku wanawake, huwa unajua kuwa na mama yako ni mwanamke?

    KWENYE kumjibu kwa kumtukana umekosea, Ukiwa kama FATHER of ALL, hoja yako inapenya vema kwa kila mmoja. Ila ukianza kujibishana kwa matusi, kisa amekutukana, tuna mashaka na UBABA WAKO....Baba huwa na busara siku zote, hata mama akibwatuka, watoto bado BABA ana BUSARA.....be real Father....tchao...
  12. nosspass

    Siku ya tano baada ya ndoa, mume "kapigwa marufuku kushika manyonyo na kutumia kidole" wakiwa faragha

    hao wanandoano wenyewe hawana akili.... hiyo ishu ni ya deep sana, au ni wewe dogo,,,,,sasa unamuingizia vidole ili nini......wewe utakubali......kama amakataa uume hapo sawa.... manyonyo si unaweza tumia ya beki 3 tuu....
  13. nosspass

    Mke kachoka kumlisha mume wake

    wao wawili ndio wanaweza kusuluhisha tofauti zao dada, wa 3 ni shetani. mkishaanza kutoa migogoro yenu nje ya pembe 4 za nyumba yenu, imeisha hiyo. hatujui upande wa pili, ila kama imefikia hapo na mwanamke ndio anaomba TALAKA, amalize tuu asonge mbele mradi asimamie mambo ya msingi, hasa HAKI...
  14. nosspass

    Dar es Salaam kuna visa sana; Nilishawahi kufanya kazi kwenye ofisi imechoka hadi wafanyakazi mnamuonea huruma boss yaani boss hana matumaini kabisa!

    Dah......life experience hiyo......wengi tumepita huko......... kampuni nyingi sana zinapita humo.....na kunazo zinatoboa.....ila hao maboss mkishavuka, utasikia sasa tunaajiri we degree tuu...wasomi...daadeki...
Back
Top Bottom