Recent content by nosspass

  1. nosspass

    JamiiForums Tanzania Jinsi AI Inavyoharibu Maisha Yako Kimya Kimya

    yaani toleo la adobe 2026 iko friendly mno, yaani ina kila kitu sasa hivi, na no hidden tools
  2. nosspass

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    kumfananisha mwanao na mkeo (kila kitu) hapo tuu mashaka tayari......kula tuu si wako....ngoja inase ndio uje hapa upya.
  3. nosspass

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenisaliti

    Ulipoanza kusema tuu "mwanamke wangu" nikajua boya fulani kajichanganya........kwanini umpige mwanamke umtie majeraha.....piga mwanao acha ujinga.....mbwiga wewe
  4. nosspass

    JamiiForums Tanzania Kama unataka ufanikiwe maishani wape wanyama chakula

    Nisamehe nimetoka nje ya mada bro... kama unaweza nijuza (tujuza)....nilisikia mahali na nikasoma mahali kuhusu NYOKA (mr wise), ya kuwa maeneo wanapokuwepo nyoka, ni eneo salama kwa majanga yoyote ya kidunia,,, yaani nie eneo ambalo, tetemeko, majanga ya moto.....yaani ni eneo salama....bado...
  5. nosspass

    JamiiForums Tanzania Hivi kuwa single kwa muda mrefu kunaweza kusababisha mtu kuogopa kufanya mapenzi

    sasa kama unapiga PUNYETO demu wa kazi gani.....pumbafu wewe.....
  6. nosspass

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi latoa tamko baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti Uwanja wa Taifa

    kuna watu wanaumia sana simba kushinda ........fujo sio jadi yetu......
  7. nosspass

    JamiiForums Tanzania Baba yangu alipomuacha mama akatafuta mwanamke mwingine nilimchukia sana wakati ule,hivi Sasa ndiyo naelewa

    Ndivyo walivyoumbwa, na hawatabadilika....kizuri watoto wakikua wanakuwa wapole hasa wa KIUME, wa kike imekula kwa BASHA wake.......sababu maisha yake ni machale machale ya kuachwa....so wanakuwa na wivu usio na kichwa wala miguu....
  8. nosspass

    JamiiForums Tanzania Je, unaweza kuendelea kuishi na mwanamke wa namna hii ?

    hujajibu swali!!! kupendana na kunaniliu ni kitu mbili tofauti......so jibu swali.....na je alifurahia???
  9. nosspass

    JamiiForums Tanzania Kijana fahamu madhara ya punyeto na mtu anayejichua kwa muda mrefu

    Punyeto na iheshimiwe,,,,, ingekuwa na madhara wale wote tuliosoma kule KB 1980's rombo, tungekuwa waathirika woteeee, bado tunapuyanga hatariiii. Msiwatishe vijana.......nasema hivi.....IPIGENI PUNYETO, inaboresha afya ya AKILI pia.
  10. nosspass

    JamiiForums Tanzania Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

    wanawake tena...!!!! duh....
  11. nosspass

    JamiiForums Tanzania Kikongwe miaka 72 auawa na mkwe wake Moshi,mwingine ajinyonga kwa msongo wa mawazo

    Wapumzike kwa amani, majeruhi wapate nafuu mapema, ila yule muuwaji najua haponi na umahututi uliomkuta, watakutana na baba mkwe uko ahera, wakiamua kuliendeleza poa tu.
  12. nosspass

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Walimu wa Shule ya Green Acres (Dar) wanaotuhumiwa kulawiti na kuwadhalilisha Wanafunzi, wanalindwa na nani?

    iko haja ya sheria ya KUHASIWA wanaolawiti watoto......anahasiwa tu.......then arudi mtaani...
  13. nosspass

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Walimu wa Shule ya Green Acres (Dar) wanaotuhumiwa kulawiti na kuwadhalilisha Wanafunzi, wanalindwa na nani?

    kuwateka tu, then anasuguliwa nje ndani mpaka akate mauno....shenzi sana...hii kitu inaumiza sana. Natamani wazazi wawatoe watoto wao hapo iwe fundisho.
  14. nosspass

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana, kudhalilisha au kushuku wanawake, huwa unajua kuwa na mama yako ni mwanamke?

    KWENYE kumjibu kwa kumtukana umekosea, Ukiwa kama FATHER of ALL, hoja yako inapenya vema kwa kila mmoja. Ila ukianza kujibishana kwa matusi, kisa amekutukana, tuna mashaka na UBABA WAKO....Baba huwa na busara siku zote, hata mama akibwatuka, watoto bado BABA ana BUSARA.....be real Father....tchao...
Back
Top Bottom