Recent content by NORTHERNER

  1. N

    PostGE2025 Kwanini mpaka sasa Salum Mwalimu hajarudisha gari na mlinzi alivyopewa wakati wa 'Uchaguzi'?

    Kama ninavyowajuwa INEC wapo vizuri sana katika kusimamia sheria sidhani kama wanaweza kuruhusu jambo kama hilo.
  2. N

    GE2025 Ofisi ya tume huru ya uchaguzi kuna picha ya mgombea ukutani, sasa hizi kampeni za nini?

    Yani wewe na akili yako finyu unasahau kuwa Samia bado ni Rais kwa mujibu wa Katiba?
  3. N

    Tume 'huru' ya Uchaguzi pokeeni simu, niwape makavu!

    sasa wasipokee simu yako kwa sababu zipi?
  4. N

    Hivi wasomi wa serikali akiwemo Kailima walisoma vyuo gani?!

    OKW BOBAN SUNZU ficha ujinga wako hata kidogo basi.
  5. N

    PreGE2025 John Heche: Kikatiba bado Chadema ina nafasi ya kushiriki Uchaguzi mkuu 2025

    nijuavyo mimi kuna wakati vyama vya siasa vinasaini kanuni za maadili ambazo ndio zimesainiwa juzi na vyama 18 isipokuwa CDM na wakati wa uteuzi wa wagombea ndio kila mgombea anasaini fomu na. 10 ya kuheshimu maadili kwa hiyo hapa naona Heche anachanganya
  6. N

    Ramadhani Kailima anatoa matamko kama nani? Kuna stakeholder yeyote aliyeshiriki kumuweka kusimamia uchaguzi tofauti na mgombea wa CCM?

    CDM si mmeshasusia uchaguzi? tulieni Kailima anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu sasa kama unapinga hoja zake pinga kupitia sheria kama alivyofanya yeye
  7. N

    PreGE2025 NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

    Safi sana mambo mazuri zaidi yatakuja
  8. N

    Pendekezo: Charles Kimei ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha na Mipango

    Wakati wake ukifika atateuliwa tu
  9. N

    Nafasi za muda za kusimamia uchaguzi mdogo Mbarali

    Hii taarifa nina mashaka nayo NEC ninayoijua Mimi haifanyi kazi zake kienyeji hivi huyu mtu kakaa tu kujitungia huu upuuzi wake NEC wapo straight sana kwenye utaratibu kwenye mambo yao
  10. N

    CHADEMA: Bila Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, hakuna Uchaguzi Mkuu

    Sidhani kama CDM wanajua wanachosimamia Kwa sababu suala la katiba Mpya sio kama mkate wa kununua dukani tu ghafla, najua viongozi wao wanalijua hilo lakini wanajitoa ufahamu na kutumia katiba Mpya Kwa ajili ya popularity
Back
Top Bottom