Ukitaka kupima mwisho
wa chama chochote cha
siasa na serikali yake ni
pale kinapoanza kukiuka
misingi muhimu ya haki
za binadamu ,matumizi ya
nguvu kupita
kiasi ,kutumia ubabe ktk
maamuzi yake na
kuwafanya wananchi
wasiokuwa na hatia
kuwa wakosaji.
Mambo hayo ndio
yanayosababisha...
Ukitaka kupima mwisho
wa chama chochote cha
siasa na serikali yake ni
pale kinapoanza kukiuka
misingi muhimu ya haki
za binadamu ,matumizi ya
nguvu kupita
kiasi ,kutumia ubabe ktk
maamuzi yake na
kuwafanya wananchi
wasiokuwa na hatia
kuwa wakosaji.
Mambo hayo ndio
yanayosababisha...
Niliwahi kupost kwenye
mitandao ya facebook
kuhusu hatari ya raia
kuvaa nguo
zinazofanana na sare za
jeshi.
Post ambayo ninaamini
ilileta mabadiliko
makubwa kwani baada
ya muda tuliona wa2u
wakikamatwa na
kuonywa wasizivae .
Pengeni unaweza
kujiuliza ni kwa nini
niliandika mada...
Ndugu zangu haswa wale waelewa ,akili iliyoshindwa kujitambua ni mzigo kwa maendeleo ya watu na taifa .kwa kuwa akili angavu ni
chimbuko la asili zenye kuleta mapinduzi ya ndani ya nafsi yenye matumaini ya maisha ya kijamii.
Mapinduzi ya nafsi yanaondoa utumwa wa kukubali kuonewa / kunyonywa...
MAMBO MENGINE
YANACHEKESHA SANA KWA
SERIKALI YA CCM
Katika hali inayotafsiriwa
kuwa ni ubadhirifu na
matumizi mabaya ya
fedha za umma, Ofisi ya
Waziri Mkuu, imeomba
Shilingi bilioni moja kwa
ajili ya kuwazika viongozi
wa kitaifa watakaokufa
katika mwaka wa fedha
unaoanza Juni, mwaka...
Barua ya wazi kwa
viongozi wa chama cha
demokrasia ,( chadema )
,wanaharakati wote na
wapenda mabadiliko.
Ndugu zangu napenda
kutoa somo ,au hoja ya
kujenge mwamko na
ujasiri kwa wananchi
kuliko kupiga kampeni za
kila mwaka kwa umma
ambao kuna watu bado
hawajaamka.
Niliwahi kutamka...
Ukitaka kupima mwisho wa chama chochote cha siasa/ serikali yake ni pale kinapoanza kukiuka misingi muhimu ya haki za binadamu ,matumizi ya nguvu kupita kiasi kutumia ubabe / vitisho ktk maamuzi yake ,unapoona vyombo vya dola vinaacha kuwatumikia wananchi na kuanza kuwatumikia watawala na chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.