Lissu alikwishakijibu hilo. Dereva alipewa passpot na wizara ya mambo ya ndani kusafiri kwenda Nairobi na hata kusafiri Nairobi kwenda Ubelgiji, dereva alikuwepo hospitali Dodoma siku ya Tukio kwanini hamkumkamata? Mlipigwa upofu na Mungu makusudi maana mngemkamata mngemtesa au kumuharibu akili...
Maalim na watu wake wa Zanzibar wakihamia CHADEMA ni pigo kuu Takatifu kwa CCM maana misheni yao ya kuiua CUTF Zanzibar itafeli vibaya mno. Just imagine muungano wa CUF na CHADEMA via UKAWA ulivyoifanya Maalim na CUF yake kuishinda CCM kwa gapu kubwa sana haijawai kushinda kiasi hicho. Sasa...
Seif kasaidiwa sana kupitia mawakili, mawazo na misaada mengineyo zaidi matokeo chanya hayaonekani maana viongozi wote wakubwa bara wako upande wa Lipumba na ccm (Mtatiro, Sakaya na wabunge wengi) CHADEMA wanashambuliwa, CUF Maalim wanashambuliwa dawa ni kuunganisha nguvu, Umoja ni nguvu...
Kwanini wanao hama CDM wanahamia CCM na sio vyama vingine? Seif akihamia Jahazi asilia, TADEA sijui vyma gani huko atapona au yeye mwenyewe atakubali? Maalim Seif ni mpambanaji wa muda mrefu nguvu zake ni rahisi kufanikiwa akiwa CHADEMA kuliko vyama vingine. Maalim alionyesha nia ya kushirikiana...
Hizi ziara zitamfanya akose mvuto kwenye kampeni zake 2020 otherwise NEC wakimbie ofisi siku ya kurudisha fomu ili wagombea wa vyama vya Upinzani washindwe kuwasilisha fomu zao nae apitwe bila kupinga
Kambona ni hero na angekuwa anatoka kaskazini angepewa sana heshima na kukumbukwa tatizo ni kabila na sehemu anayotoka hawapendi kuvitukuza vya kwao (Wanyasa wa Mbinga mkoani Ruvuma)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.