Recent content by Noncommited

  1. N

    Serikali: Uchunguzi wa shambulio dhidi ya Lissu unakwamishwa na CHADEMA

    Lissu alikwishakijibu hilo. Dereva alipewa passpot na wizara ya mambo ya ndani kusafiri kwenda Nairobi na hata kusafiri Nairobi kwenda Ubelgiji, dereva alikuwepo hospitali Dodoma siku ya Tukio kwanini hamkumkamata? Mlipigwa upofu na Mungu makusudi maana mngemkamata mngemtesa au kumuharibu akili...
  2. N

    Maalim Seif: Muda ukifika nitazungumza

    Maalim na watu wake wa Zanzibar wakihamia CHADEMA ni pigo kuu Takatifu kwa CCM maana misheni yao ya kuiua CUTF Zanzibar itafeli vibaya mno. Just imagine muungano wa CUF na CHADEMA via UKAWA ulivyoifanya Maalim na CUF yake kuishinda CCM kwa gapu kubwa sana haijawai kushinda kiasi hicho. Sasa...
  3. N

    Ukonga: Wananchi waonesha kukosa imani na Waitara

    Hilila Lissu litawatesa miaka mingi sana ccm na serikali yake
  4. N

    CHADEMA wamkaribisha Maalim Seif na kuahidi kumpa ugombea Urais Zanzibar

    Seif kasaidiwa sana kupitia mawakili, mawazo na misaada mengineyo zaidi matokeo chanya hayaonekani maana viongozi wote wakubwa bara wako upande wa Lipumba na ccm (Mtatiro, Sakaya na wabunge wengi) CHADEMA wanashambuliwa, CUF Maalim wanashambuliwa dawa ni kuunganisha nguvu, Umoja ni nguvu...
  5. N

    CHADEMA wamkaribisha Maalim Seif na kuahidi kumpa ugombea Urais Zanzibar

    Kwanini wanao hama CDM wanahamia CCM na sio vyama vingine? Seif akihamia Jahazi asilia, TADEA sijui vyma gani huko atapona au yeye mwenyewe atakubali? Maalim Seif ni mpambanaji wa muda mrefu nguvu zake ni rahisi kufanikiwa akiwa CHADEMA kuliko vyama vingine. Maalim alionyesha nia ya kushirikiana...
  6. N

    Mbowe na viongozi wengine wawasili Mikumi kuhudhuria Mazishi ya Baba wa Profesa J

    Kwani msiba wa kaka wa Mbowe ccm walihudhuria? Msiba wa mbunge Kasuku ccm walihudhuria? Mbwai Mbwai
  7. N

    Mkuchika: Hakuna Mafao Kwa Waliogushi Vyeti

    Iko siku utakuja utawala mwingine na hao wafanyakazi watalipwa stahiki zao. Tuombe Mungi iwe 2020 au hata awamu ya 2025. Mungu Ibariki Tanzania
  8. N

    Sijaona faida ya Ziara za Rais wetu Magufuli

    Hizi ziara zitamfanya akose mvuto kwenye kampeni zake 2020 otherwise NEC wakimbie ofisi siku ya kurudisha fomu ili wagombea wa vyama vya Upinzani washindwe kuwasilisha fomu zao nae apitwe bila kupinga
  9. N

    MOSHI : Mbowe, DC Hai 'jino kwa jino'

    CCM inakaribia kufa
  10. N

    Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

    Kambona ni hero na angekuwa anatoka kaskazini angepewa sana heshima na kukumbukwa tatizo ni kabila na sehemu anayotoka hawapendi kuvitukuza vya kwao (Wanyasa wa Mbinga mkoani Ruvuma)
  11. N

    Agizo la Waziri Mkuu: Wafanyabiashara watatu wakamatwa kwa kuficha mafuta ya kula mjini Songea

    Songea hakuna uhaba wa mafuta wala kupanda bei. kuna watu wanataka wasikike tu
  12. N

    Hotuba ya mbunge John Mnyika ya kuzuia bajeti ya Wizara ya Maji isipite

    :D:D Uza bombadier hudumia wananchi wako Maji. "MAJI NI UHAI"
  13. N

    Hotuba ya mbunge John Mnyika ya kuzuia bajeti ya Wizara ya Maji isipite

    Uza bombadier hudumia wananchi wako Maji. "MAJI NI UHAI"
Back
Top Bottom