Recent content by no'me no'you

  1. no'me no'you

    Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

    Tuwekeeni picha ya Mage please
  2. no'me no'you

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Kazi iendelee
  3. no'me no'you

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Unakata kuniambia kwamba unaamini pia umughaka genuine ni bodaboda na bado anapata nafasi ya kuandika makala kama hizi?
  4. no'me no'you

    Kisa cha Kweli: Mimi na Baba tutamsamehe vipi Mama? Nami nitawezaje msamehe Mzazi wangu?

    Tafuta hata majina bandia ta kuweka kwenye story yako badala ya kusema mtu anaitwa xxxx
  5. no'me no'you

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    'Wewe pia sio mtu wa kawaida' una kipaji kikubwa sana. hongera
  6. no'me no'you

    Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

    acha siasa. mchungaji wako alishajisahau sana kwa mambo ya kimwili
  7. no'me no'you

    Kwenda Dodoma saa tatu; kwenda Dar saa tano, tatizo ni nini?

    1. kipande cha Dar~moro sehemu kubwa ni makazi ya watu na kuna speed limit (50kph) 2. msongamano wa magari ni mkubwa zaidi kipande cha dar~moro hata hivyo tabia ya hizi barabara hubadiliki kulingana na muda, ukiendesha usiku mkali inakua tofauti na mchana
  8. no'me no'you

    TRA fanyeni kazi yenu kwa ufanisi! Watu hawaombi risiti na wenye maduka hawatoi risiti kikamilifu!

    we nawe sijui wa wapi! mawaziri wanaishi maisha ya kifahari kwa kutumia hizo hizo kodi na bado hushtuki!
  9. no'me no'you

    Baada ya uchaguzi, kama UKAWA na CCM haitashinda ndio utakuwa mwisho wao

    Haya mawazo yako ungeyatunza mpaka baada ya uchaguzi ndio uyalete hapa.
  10. no'me no'you

    GE2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

    Tanzania inakuhitaji kuitumikia kama mbunge katika umri huu kaka Mtatiro. Kwanini usigombee kupitia jimbo lingine liliachiwa kwa CUF?
  11. no'me no'you

    Haya sasa, sarafu yetu ya MIA TANO hii hapa!

    Kibongo bongo kila upande ni majanga
Back
Top Bottom