1. kipande cha Dar~moro sehemu kubwa ni makazi ya watu na kuna speed limit (50kph)
2. msongamano wa magari ni mkubwa zaidi kipande cha dar~moro
hata hivyo tabia ya hizi barabara hubadiliki kulingana na muda, ukiendesha usiku mkali inakua tofauti na mchana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.