Recent content by Noi Bai

  1. Noi Bai

    GE2020 Hivi Tundu Lissu amepewa ulinzi na Serikali?

    Alitaka kuonesha ukuu wake, Mungu ukaa katika sifa, kama alivyokua na uwezo wa kuzuia majanga mengi yasitokee lakini mengine huyaacha ili wewe na mimi wenye mapungufu tupate kusadiki ya kuwa yeye ndiye.....Alfa na Omega
  2. Noi Bai

    GE2020 Tundu Lissu aifuta CCM Morogoro

    Jifunze ndugu, mavazi ni utamaduni tu wa jamii fulani, hata wakristo wanaoishi uarabuni huvaa makanzu kama utamaduni wa kule na sio kama dini, Tanzania hakuna sheria inayomzuia kuvaa mavazi mavazi apendayo ilimradi hayavunji maadili ya kitanzania, hata akivaa shuka kama mmasai. Kingine...
  3. Noi Bai

    Mabinti naomba niwakumbushe!

    Mbona unajitetea mama angu! Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  4. Noi Bai

    Nina uhakika Makonda atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru

    Katiba bado inamruhusu kugombea u spika
  5. Noi Bai

    Fatma Karume: Nawaelimisha wenye vichwa vigumu, hii nchi inaendeshwa kwa sheria, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, wanakamata watu bila Utaratibu

    Mfano unataka hoja gani ijengwe na wapinzani?? Yaani coments zenu huwa zinatia hasira na kinyaa, hadi mtu unaamua ku kufuta jf app kwa muda!! Aagrrrr, yaani mtu anaandika coments unajiuliza kama aliye andika ni mtoto au mtu mzima!!!
  6. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Shukrani sana mkuu, umetusaidia wengi, sehemu ambazo huwa na stuck ntapata solution
  7. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Okay, sikuwa nafahamu kama ni bure, nadhani hiyo ni platform nzuri zaidi ya watu kujifunza
  8. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Ukiachana na kusomea, sio yote yanafundishwa ila mengine utayafahamu kwa ku practice au kumpata mtu anaeijua vizuri akakuelekeza Ni hivi, unaamua kwamba nataka report inayoonesha kitu flani, then unaanza kufikiria ni formula gani au tools zipi utumie zikuletee hayo majibu So kuna vingine...
  9. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Mimi sitoi ajira, na wala sipo huko, but naweza kukupa contact zao
  10. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Utanicheck DM, pia uandike na price yako ntakutumia contacts zao utawacheck direct
  11. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Kaisome mama, isome with passion!!! Baada ya miaka kadhaa nyie ndo mtakua deal mjini kuliko hata mainjinia, maana mainjinia na makampuni yote yatafanya kazi kwa kutumia data, na idadi yenu itakuwa ndogo, huu ndo muda wa kufanya hivyo!! Mi nilibhatika huku kwa watu nikajifunza japo sijui yote...
  12. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Hakuna mtu anayejua excel kwa 100% labda billgate na wenzake!!! Ila wanataka mwenye huo utaalam kiasi
  13. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Mikwara ili kupunguza idadi ya applicant, pia ndo requirements zao, so nimeona niwe clear kabisa ili mtu asipoteze muda wake
  14. Noi Bai

    Post: Data intelligence manager (expert in excel) anahitajika

    Tatizo hakuna cheo cha mtaalam wa excel [emoji2] ila sio mbaya jaribu bahati yako boss
Back
Top Bottom