Alitaka kuonesha ukuu wake, Mungu ukaa katika sifa, kama alivyokua na uwezo wa kuzuia majanga mengi yasitokee lakini mengine huyaacha ili wewe na mimi wenye mapungufu tupate kusadiki ya kuwa yeye ndiye.....Alfa na Omega
Jifunze ndugu, mavazi ni utamaduni tu wa jamii fulani, hata wakristo wanaoishi uarabuni huvaa makanzu kama utamaduni wa kule na sio kama dini, Tanzania hakuna sheria inayomzuia kuvaa mavazi mavazi apendayo ilimradi hayavunji maadili ya kitanzania, hata akivaa shuka kama mmasai. Kingine...
Mfano unataka hoja gani ijengwe na wapinzani?? Yaani coments zenu huwa zinatia hasira na kinyaa, hadi mtu unaamua ku kufuta jf app kwa muda!! Aagrrrr, yaani mtu anaandika coments unajiuliza kama aliye andika ni mtoto au mtu mzima!!!
Ukiachana na kusomea, sio yote yanafundishwa ila mengine utayafahamu kwa ku practice au kumpata mtu anaeijua vizuri akakuelekeza
Ni hivi, unaamua kwamba nataka report inayoonesha kitu flani, then unaanza kufikiria ni formula gani au tools zipi utumie zikuletee hayo majibu
So kuna vingine...
Kaisome mama, isome with passion!!! Baada ya miaka kadhaa nyie ndo mtakua deal mjini kuliko hata mainjinia, maana mainjinia na makampuni yote yatafanya kazi kwa kutumia data, na idadi yenu itakuwa ndogo, huu ndo muda wa kufanya hivyo!! Mi nilibhatika huku kwa watu nikajifunza japo sijui yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.