Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 604
- 976
- Thread starter
- #21
Nimekumbushia tu wasiojielewaMmetuandama sana humu ndani
Nimekumbushia tu wasiojielewaMmetuandama sana humu ndani
Sawa mkuuNimekumbushia tu wasiojielewa
Mbona unajitetea mama angu!Hii week mnadeal na jinsia ya kike waliosoma na wanaojiweza kiuchumi tu!
Afadhali mie ambaye sijasoma mixer sina hela hizi kashfa hazinihusu kabisa
Weee panya mla pakaHii week mnadeal na jinsia ya kike waliosoma na wanaojiweza kiuchumi tu!
Afadhali mie ambaye sijasoma mixer sina hela hizi kashfa hazinihusu kabisa


😂😂, atakuwa anaunga bando aje.
Ongeza sauti mkuu, huku hawajasikiaNaomba kuwakumbusha muweze kutofautisha elimu za darasani na elimu ya maisha! Ni vitu viwili tofauti!
Hamuolewi kwasababu ya degree zenu mlizonazo. Elimu mlizozipata shuleni sio sifa au kigezo cha wewe kuolewa. Mkumbuke majukumu ya mwanamke ndani ya nyumba kulingana na tamaduni zetu waafrika.
Kuwa na elimu fulani, au kufanya kazi fulani sio kigezo cha wewe ni haki yako kuolewa!
Bahati nzuri mimi sikuoa cheti cha taaluma wala kazi! Nilibahatika kupata mke!
Jifunzeni pia elimu ya mtaani ili muweze kuyaishi maisha ya ndoa vyema.
Hakiolewi cheti cha taaluma wala kazi yako.
Wameelewa mbona! Sifa ya kuolewa sio cheti cha degreeOngeza sauti mkuu, huku hawajasikia