hapo bado kuna kitu hapo aiwezi ikachukua mpka wiki ssa hatuyaoni hayo majibu ni swala la IT tu kutengenezwa formula na kuingiziwa kwenye chombo vitu kujibadilish auto kutokana na alama uliopta na grade uliokuwa nayo mwanzo mgh.... haya matokeo mna ya panga nyie mnavyojua kila la heri na elimu yetu
sikuungi mkono aliejichorea zombie nikajitakia mwenywe na kapenda lakini kuna watu walio take mtihani serious na kurudia usaishaji ni jambo sahihi na siyo kurudia mtihani wanafunzi wengi wameshasahau hata vilvyokuwa vikifunfishwa
not convincing shukuru una 35 ina kufaa kuliko walio futiwa kabisa.inakufaa na ndoto zako za alnacha kuwa bongo flava artist usisahau manyanga/ndumba kidogo utatoka
msaada juu ya qualification za applicant anaechukua certificate ya procurement chuo cha TIA, every each quality.
kwa wale wanaojua hili swala nisaidieni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.