Recent content by Noe_wenc87

  1. Noe_wenc87

    Kitabu: The great Mortality

    Daah ndugu zangu ...yan hivi kusoma vitabu soft copies ugumu naupata mim au na nyie maana nawahi kuchoka kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Noe_wenc87

    Umesoma vitabu gani mwaka 2018?

    Wakuu natamani sana kuanza upya utaratibu wa kusoma vitabu maana nilianza awali nkaishia kati kama sio kushindwa kabisa ....je nifanyaje ili nijue kipi kizuri na kinanifaa kwa wakati huo ...halafu vingi vilikua vya soft copy sasa vikawa vinanichosha sana ...msaada tafadhari Sent using Jamii...
  3. Noe_wenc87

    The Inner peace, ndio furaha ya kweli jifunze, maisha yako yawe ya furaha

    Mkuu nilichosoma ni maelezo ya inner peace ...lakini sijaona nin cha kufanya ili kupata hiyo inner peace ...na pia jinsi ya kufanya meditation ..msaada please Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Noe_wenc87

    Utulivu wa nafsi na akili

    Habari zenu wakuu, kuna kitu kinanitatiza na nahisi kwangu kina umuhimu. Suala la utulivu wa akili yaani Meditation. Nimesoma kwenye post tofauti zilizopita humu na katika blogs kadhaa lakini bado sijajua naweza vipi kufanya meditation. Tafadhari mwenye uelewa juu ya hili msaada naomba kwa...
  5. Noe_wenc87

    Wale wenye Bachelor of Veterinary Medicine na Medical doctors na wenye uelewa juu ya hili karibuni.

    Habari za wakati wana JF wenzangu __hop e mko salama kabisa .Hoja yangu ni juu ya fani gani inalipa sana kwa sera ya nchi ya sasa na zitakazo kuja kwa upande wa ajira na uwanja mkubwa wa kujiajiri kati ya mtu mwenye Bachelor of Veterinary Medicine (BVM) na yule mwenye Medical Doctor (MD )...
  6. Noe_wenc87

    Jinsi gani unaweza kuanzisha wazo la kibiashara

    Ushauri kama huu ndo unanifanya niamini faida za uwepo wa watu yakini ndani ya Tz na JF ...barikiwa ndugu ..
  7. Noe_wenc87

    Jinsi gani unaweza kuanzisha wazo la kibiashara

    Shukrani mkuu ...lakin nyingi za online wanasema niza kitapeli.
  8. Noe_wenc87

    Jinsi ya kutafuta hela

    Kweli kabisa we have to fight mpaka tone la mwisho ...sikuiz watu wanakaa kulinganisha mishahara na utajili wa watu daah hii ndo bongo PAMBANA YA HELA YOOTEE ASEE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
  9. Noe_wenc87

    Jinsi gani unaweza kuanzisha wazo la kibiashara

    Wakuu habari za majukumu..Ukiachilia mbali taaluma za kila mmoja lakin natumaini ni ngumu kufikia malengo yako kiuchumi bila kuwa na Plan B Mim ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja wapo hapa Tanzania..lakin kutokana na ugumu wa ratiba za chuo chetu nashindwa kuthubutu kuanzisha biashara yoyote ili...
Back
Top Bottom