Recent content by No Name 3

  1. N

    JamiiForums Tanzania Eti wanaohudhururia mikutano ya chadema nao ni umma!!

    Huwa unavuta nao nini? Mbona umeshoboka kama na unanihiiiiiiiii.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Eti wanaohudhururia mikutano ya chadema nao ni umma!!

    Inawezekana wewe ukawa ni mmoja wa wanawake wengi waliochoka kiakili kwa tshirt na vilemba. Maana mikutano yenu hujaa wanawake masikini tena wenye mawazo finyu.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nape na madai ya uchagga ndani ya CHADEMA

    hizi post mnaandika mkiwa mnakunya nini?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mbeya-Picha na Matukio

    Ndugu zangu wana cdm tuwe na uvumilivu kila inapotokea hoja ya inayohusiana na mambo ya udini. Kwani mara nyingi huwa zinakua na lengo la kutuvuruga na kututenganisha. Hivyo tuwe makini sana kwa kuangalia hoja inayotolewa inakua na madhumuni gani.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Hata Bunge letu nalo ni bunge la kata tu...kama zilivyo sekondari na baadhi ya vyuo

    Acha maneno yakejeli na dhihaka kwetu watoto wa masikin. Kama wewe na mafisadi wenzio mmesoma ACADEMY kimpango wenu. Nani kakwambia shule za kata ni walopokaji na wafanya fujo. Toa maneno ya kufananisha na hoja yako sio shule za kata.
  6. N

    JamiiForums Tanzania CCM sio chama cha siasa, ni kampuni ya Familia za Kifalme

    Mbona mnanibania
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

    Sasa katika orodha iyo wale wazamani bado wapo au wamesafishwa.
Back
Top Bottom