Recent content by nnyachi

  1. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    ukimsifia mkewako kwa mambo ya 6to 6 ni sawa na kutoa siri zako za ndan ambapo sio maadili mazur na kama unamzalilisha mke wako, na isitoshe unawapa nafac hao unao waambia kutaka wamuonje mke wako ili wajue kama kwel hizo cfa unazozisema anazo.
  2. N

    Kwa Hili la Salum Mwalimu, CUF Inastahili Pongezi ni Mwanzo Mzuri wa Reality ya UKAWA!.

    ebwana labda huyo hajajua maana ya ukawa, na nadhan hafuatilii siasa kwa ukaribu, sio lazima chadema iwe na wanachama wa kutosha kule Zanzibar, bali ile hali ya kuungana tu inawatia nguvu wanachama wa CUF kumpa kura salumu mwalimu kwan ni vyama tofauti lakini vyenye dhumuni moja.
  3. N

    Kikwete asema, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba uko palepale

    aiiiiii! kikwete! yule ambae alitangazia umma tena na kujifanya kama yy ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kuwa kura ya maoni itafanyika April 30 na ikaja tume huru ikakanusha? kikwete yule ambae aliwasaliti akina cheo kule dodoma kuhusu kuhairisha upigaji kura kwa katiba pendekezwa? nan...
  4. N

    Wanaume wengi wa Tanzania ni mianaume suruali

    ni vizur ukatafakari kabla ya kufanya jambo lolote lile, kama ungekuwa na busara, usingezungumzia upande wa wanaume tu, je wanawake mnaishi vp? Au mnategemea wanaume tu? Unajua utafutaji wa pesa ulivyokuwa na changamoto? Na ukae ukijua kuwa mpaji ni mungu.
  5. N

    Mapenzi hayana mwenyewe

    coz kama ulivyosema kuwa kumsahau ni ngumu bt ungejaribu kutueleza sababu ilikuwa nn kilichofanya muachane so hata cc humu jf tutakuwa na uwanja mkubwa wa kukupa mbinu mbadala kijana.
Back
Top Bottom