amina na Mungu yupo kwa kila jema lifanyike kwa uzima na uhai wa mama nakuombea uvumilivu na malezi mema ya familia upendo wa dhati juuu ya ndoa yako na familia yako Karucee
Jamani tuwe wazi nasindwa kuficha Hisia zangu maana jinsi moyo wangu ulivyokuwa na furaha na chama hiki basi tu najua job ndio tatizo lakini aaaaaaaaaaaaaaaaaah kwa chadema lolote na liwe.
ushauri mnzuri sana swla jingine ni nyema wakatoka mazingira hayo na kwenda sehemu tulivu sana then amweleze mumewe kistarabu yani wakiwa katika maandalizi mume ajiandae kisakolojia mawazo yote yawe kwake pia adhalau hisia zinazojitokeza kwa wakati huo, Pili kama familia kujikabidhi mikononi...
Poleni na majuku ya ujenzi wataifa tushiliki pamoja katika kujadili na kutatua matatizo na maendelo ya taifa letu na tusiishie hapo bali tufanye kwa vitendo bila uwoga wala vitisho kwani bado katiba inatulinda.
Nnamdi Jr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.