Maelezo hayo hapo juu nani anaweza kusema serikali ni ya watanzania wote na nani anaweza kusema Tanzania Hakuna ubaguzi! Mbona tuna ubaguzi wa hali ya juu sana tena ukabila wa vyama unatafuna Taifa!
Ambacho huwa kinauma moyo wangu ni kuona Huyu aliyetamka haya anaachwa huru lakini akitamka wa upinzani utasikia viongozi wa Polisi wakisema alipoti kituo cha Polisi kwa kosa la uchochezi! Huwa najiuliza uchochezi huu ukoje!!
Hivi kupambana na ufisadi ikoje? Wale wa rushwa Kule arusha na vipi wale akina chenge na wenzake na wale wa sandarusi, kinachoonekana ni kwamba maumivu ya Lowasa kuondoka ccm na baadaye Sumaye na sasa Nyarandu imejenga Inda kwa viongozi tawala na sasa mioyoni mwao wanasema na sisi tunaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.