Hivi vyama vya upinzani vimelogwa na nani?

Hivi vyama vya upinzani vimelogwa na nani?

bne

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
1,686
Reaction score
2,023
Huwa nakaa na kujiuliza hivi inakuwaje vyama vya upinzani vinashindwa kwenda mahakamani kuishitaki na kuipinga tume ya uchaguzi kutumia wakurugenzi wa halmashauri kuwa wasimamizi wakuu ktk ngazi ya jimbo na kata?

Kwasababu hawa ni wateule wa raisi ambae nae ni mwenyekiti wa chama shindani, je kweli hapo haki inatarajiwa kutendeka ktk hali ya ushindani mkali?

Limebaki swala la kulalamika tu wakati hakuna hatua yoyote inayochukuliwa, hali hii mpaka lini?

Hii ndio inayonipa picha halisi ya kwanini baadhi ya wanachama wanaohama kutusema kuwainaonekana hatuko serious kukamata dola.

Na huo ndio ukweli na ni ndoto kukamata dola kama wasimamizi wengi wakuu ni wateule wa muda wote wa raisi na wanahangaika muda wote kutekeleza Sera za chama kilichopo madarakani.

AMKENI NA MPAMBANE LA TUOMBENI TUJE , TUKO TAYARI KUACHA KAZI SERIKALINI INGAWA HATA HUKU TUNAFANYA PART YETU
 
Hili ni kubwa sana.

Poleni watumishi wa tanzania .

Ndo ccm hiyo
 
Huwa nakaa natafakari kauri za masha dhidi ya vyama vya upinzani nakupata pointi Fulani.
Masha alishakuwa waziri wa mambo ya ndani hivyo alikwisha ona jinsi ya chama tawala kinavyotumia mbinu zote haya zisizo haki kufanikisha ushindi.
Sasa alipokuja upande huu mbinu hizo na juhudi hizo hakuziona, yaani sisi kila kitu hewara bwna , iko siku, hayo ndio maneno yetu.
Na ndio maana akatamka neno lile kuwa hatuko tayari kukamata dola
 
Kwani wapinzani walioshinda walifanyia uchaguzi sayari ya mars?
 
Huwa nakaa natafakari kauri za masha dhidi ya vyama vya upinzani nakupata pointi Fulani.
Masha alishakuwa waziri wa mambo ya ndani hivyo alikwisha ona jinsi ya chama tawala kinavyotumia mbinu zote haya zisizo haki kufanikisha ushindi.
Sasa alipokuja upande huu mbinu hizo na juhudi hizo hakuziona, yaani sisi kila kitu hewara bwna , iko siku, hayo ndio maneno yetu.
Na ndio maana akatamka neno lile kuwa hatuko tayari kukamata dola
Kwani wapinzani walioshinda walifanyia uchaguzi sayari ya mars?
Sio kwa seikali hii ambayo kwanza iko tayari hata kutoa uhai wa mtu ili mradi tu wapate ushindi.
Sio kwa sekali ambayo sector zote za maamuzi imeweka makada wake ambao ni wanasiasa.
Kwa hiyo ukitazama kwa undani kuna utofauti mkubwa sana wa kiutawala
 
Huwa nakaa na kujiuliza hivi inakuwaje vyama vya upinzani vinashindwa kwenda mahakamani kuishitaki na kuipinga tume ya uchaguzi kutumia wakurugenzi wa halmashauri kuwa wasimamizi wakuu ktk ngazi ya jimbo na kata?

Kwasababu hawa ni wateule wa raisi ambae nae ni mwenyekiti wa chama shindani, je kweli hapo haki inatarajiwa kutendeka ktk hali ya ushindani mkali?

Limebaki swala la kulalamika tu wakati hakuna hatua yoyote inayochukuliwa, hali hii mpaka lini?

Hii ndio inayonipa picha halisi ya kwanini baadhi ya wanachama wanaohama kutusema kuwainaonekana hatuko serious kukamata dola.

Na huo ndio ukweli na ni ndoto kukamata dola kama wasimamizi wengi wakuu ni wateule wa muda wote wa raisi na wanahangaika muda wote kutekeleza Sera za chama kilichopo madarakani.

AMKENI NA MPAMBANE LA TUOMBENI TUJE , TUKO TAYARI KUACHA KAZI SERIKALINI INGAWA HATA HUKU TUNAFANYA PART YETU
Chadema wakitaka haki lazima waende UN pamoja na ICC hizo mahakama za Dsm hawatapata haki kwa sababu CCM huwa inaingililia uhuru wa mahakama
 
Chadema wakitaka haki lazima waende UN pamoja na ICC hizo mahakama za Dsm hawatapata haki kwa sababu CCM huwa inaingililia uhuru wa mahakama
Una akili gani mkuu!???UN na ICC ndo itakuletea tume huru!? Watakuletea katiba mpya itakayomdhibiti rais asiteue wakurugenzi makada!??hao wazungu ndo watatoa maelekezo raid asiteue mwenyekiti wa tume??
Narudia tena mambo ya ndani lazima tupambane wenyewe ndani hakuna mzungu atakayekusikiliza huo ujinga atakupigia tuu makofi mwisho wa siku utarudi kama ulivoenda.
 
  • Thanks
Reactions: bne
Una akili gani mkuu!???UN na ICC ndo itakuletea tume huru!? Watakuletea katiba mpya itakayomdhibiti rais asiteue wakurugenzi makada!??hao wazungu ndo watatoa maelekezo raid asiteue mwenyekiti wa tume??
Narudia tena mambo ya ndani lazima tupambane wenyewe ndani hakuna mzungu atakayekusikiliz
a huo ujinga atakupigia tuu makofi mwisho wa siku utarudi kama ulivoenda

Kuongezea tuu sio UN wala ICC inayouwezo wa kutengua chochote kile kilichofanyika ndani ya nchi,si uchaguzi wala katiba hawawezi kubadili chochote,pole sana kwa kujidanganya.
 
Wanadhani wao wanapenda haki na Kweli hawako serious kabisa
 
  • Thanks
Reactions: bne
Una akili gani mkuu!???UN na ICC ndo itakuletea tume huru!? Watakuletea katiba mpya itakayomdhibiti rais asiteue wakurugenzi makada!??hao wazungu ndo watatoa maelekezo raid asiteue mwenyekiti wa tume??
Narudia tena mambo ya ndani lazima tupambane wenyewe ndani hakuna mzungu atakayekusikiliza huo ujinga atakupigia tuu makofi mwisho wa siku utarudi kama ulivoenda.
Na huo ndio ukweli kwani lazima tupambane ndani bila kujali litakalo tokea kwani hata jela lazima watu wakubali kuingia kama kweli tunataka mabadiliko
 
Back
Top Bottom