Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Nimepiga kura yangu saa moja hii. Haya ni matukio yaliyotokea Meru kuhusiana na uchaguzi.
A. Mawakala wa vyama vypote hakuna. Huu ulikuwa mkakati kwa sababu walipewa barua za utambulisho bila kuapishwa. Aliyepaswa kuwaapisha alipotea juma zima. Jana wakaamua kuwakamata na kuwaweka ndani baadhi ya mawakala na viongozi wao ambao wamekuwa wakishughulikia kiapo hicho.
B. Waliowekwasero toka jana usiku ni;
1.Bw. Ndelilo katibu wa chadema kata Ambureni (maarufu kama chadema)
2.Loth Joseph- wakala
3. Juma Iddi- wakala
4. na mwingine amabaye jina lake halijapatikana, huyu alikamatwa maeneo ya kwa maretu na kuingizwa kwenye RAV 4. (Wengine walikamatwa na kuingizwa kwenye TDI
ya polisi)
Baada ya kukamatwa, makamanda waliwapigia simu mawakala wengine wajifiche (kama upo chooni baki hukohuko) hata hivyo hawa hawaruhusiwi maana hawana kiapo.(kumbuka hata wa CCM pia hamna - imefanywa kama janja fulani hivi)
C. Kitakachofanyika sasa ni maafisa wa tume wameachwa wacheze watakavyo na hapa ndio goli la mkono linapokuwa wazi kabisa.
A. Mawakala wa vyama vypote hakuna. Huu ulikuwa mkakati kwa sababu walipewa barua za utambulisho bila kuapishwa. Aliyepaswa kuwaapisha alipotea juma zima. Jana wakaamua kuwakamata na kuwaweka ndani baadhi ya mawakala na viongozi wao ambao wamekuwa wakishughulikia kiapo hicho.
B. Waliowekwasero toka jana usiku ni;
1.Bw. Ndelilo katibu wa chadema kata Ambureni (maarufu kama chadema)
2.Loth Joseph- wakala
3. Juma Iddi- wakala
4. na mwingine amabaye jina lake halijapatikana, huyu alikamatwa maeneo ya kwa maretu na kuingizwa kwenye RAV 4. (Wengine walikamatwa na kuingizwa kwenye TDI
ya polisi)
Baada ya kukamatwa, makamanda waliwapigia simu mawakala wengine wajifiche (kama upo chooni baki hukohuko) hata hivyo hawa hawaruhusiwi maana hawana kiapo.(kumbuka hata wa CCM pia hamna - imefanywa kama janja fulani hivi)
C. Kitakachofanyika sasa ni maafisa wa tume wameachwa wacheze watakavyo na hapa ndio goli la mkono linapokuwa wazi kabisa.