Recent content by nkongu ndasu

  1. N

    Maridhiano: Zanzibar wanapofanikiwa, Bara tunakwama Wapi?

    Maridhiano ya kugawana vyeo Sio issues
  2. N

    Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

    Dah kazitoa mfuko gani? Kauza shamba au...dah Mara hii mmeshamsahau jpm?
  3. N

    FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

    Mnavyosifia utadhani Samia hakuwa sehemu ya serikali iliyopita duh, kashaanza kupora pesa za watu kwenye akaunti zao...kupitia tozo
  4. N

    Ally Bananga: Nipo tayari kurudi CCM kama mtanionesha waliomuua Alphonce Mawazo

    Siasa za kufuata watu Sio sawa kabisa, hivi chama kinabadilikaji kisa kaingia kiongozi mpya?
  5. N

    Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

    Uwe spika wa bunge mstaafu, unakosaje hivo vihela? Mkuu acha utani
  6. N

    Askofu Mwamakula: Sisi viongozi wa dini tumesitisha safari ya kwenda Mbweni na kwenda kumuona IGP Sirro!

    Mungu awalinde na kuwabariki viongozi wote wa dini wanaotetea haki za watu.Imeandikwa haki huinua taifa
  7. N

    Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

    Kwa haya Ni heri tusingedai Uhuru, kwa nn tutese watu wetu? Kisa unatofautiana nao mawazo?
Back
Top Bottom