Kuunganisha bomba lina mahusiano gani na miundo mbinu iliyopo? Kinyerezi ni kituo kipya, ubungo kilikuwepo ni yapi mahusiano ya ufungaji wa bomba na kukata umeme uliopo? Hatudanganyiki!!!!!!
Watasema Mmesomba watu na Mabasi, malori nk. Watasema wote hao si wapiga kura ni Vibaka, wanywa Viroba. Niwajibu wa kila mmoja kujibu kwa Kupiga kura kwa UKAWA!!
Yote yawe mazuri ila kwa E Lowasa kuja CDM lisije tokea. Hatufai Kamwe akija CDM Chama kitasambaratika yaliosemwa na CUF ni mtego kwa CHADEMA ktk Mchakato wa Kutafuta Mgombea Urais.
Walianza na Chama cha Wachaga, Chama cha Kigaidi, Chama cha Kidini, wabaguzi nakazalika sasa wana jeshi na zana Kijeshi!!! Maajabu!
Kwa hali hiyo basi kila raia wa Tanganyika ni Askari na kila nyumba ina Vifaa vya Kijeshi.
Kumbe miaka ile nikiwa namiliki manati yangu na kokoto zake nilikuwa...
Kwani kutangaza mali kwa ZZK ndiyo kuwa Mkamilifu? Alizozitangza ndiyo ukweli wake au Kiini macho Kama wafanyavyo wengine? Wenye hati miliki na Nchi hii ni Wananchi si CCM wala CDM. Tufunguke tusiwaze kwasababu ya Zito, Kikwete, Lowasa,au Slaa. Tuwaze ktk misingi ya Utaifa ambao tulikuwa...
Mkuu unalo leo! Kimsingi Kwa tunaoijua Simanjiro, niyapi hayo maendeleo yametokana na kuwepo kwa Mkombozi Huyo? Ila naomba utujibu katika maeneo yafuatayo tu;
1. Maendeleo ya Mifugo
2. Maendeleo ya Kilimo
3. Maendeleo ya Elimu na Afya
4. Raslimali; Madini, ardhi na Mbuga za wanyama.
Tunakusubiri!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.