Nina Shahada ya Uzamili katika maswala ya Utafiti na Sera...ni mtaalamu katika Social Science Research
Nina utaalamu zaidi ya miaka miwili katika tafiti, mainly nimebase katika;
Data Collections Skills, Data Entry, Data Management and Data Analysis.
Research/Project Proposals Writing Skills...
Fanyeni kazi acheni majungu!masanja mkandamizaji ni mpambanaji na anaishi tanzania hii hii mnayo sema hailindi haki za wasaniii!hongera kaka!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Kumbe una sifu chuo chako!unaona sasa akili ya wanafunzi wa chuo chako ambacho zao lake ni wewe?kwa hiyo hao ndio walimu waliotoka chuo chako ambao watajenga hoja kama wewe!hongera!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Uko sahihi mh!ni kwa nini waijadili chamema kila mara wasijadili cuf au nccr mageuzi?hicho ndicho chama shindani ndani ya tanzania!itafahamika.songa mbele
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.