Recent content by Nkokashu

  1. N

    Nafasi 122 za kazi bwerere kutoka TANAPA

    Hahaha hawa jamaa kiboko
  2. N

    Uzoefu na Utaalam wangu katika Utafiti na Sera, Naombeni Kazi

    Nina Shahada ya Uzamili katika maswala ya Utafiti na Sera...ni mtaalamu katika Social Science Research Nina utaalamu zaidi ya miaka miwili katika tafiti, mainly nimebase katika; Data Collections Skills, Data Entry, Data Management and Data Analysis. Research/Project Proposals Writing Skills...
  3. N

    Hii ndio gari mpya aliyonunua Masanja Mkandamizaji

    Fanyeni kazi acheni majungu!masanja mkandamizaji ni mpambanaji na anaishi tanzania hii hii mnayo sema hailindi haki za wasaniii!hongera kaka! Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  4. N

    Ajira za Walimu wapya ngoma droo hakuna cha UDSM wala SEKOMU

    Kumbe una sifu chuo chako!unaona sasa akili ya wanafunzi wa chuo chako ambacho zao lake ni wewe?kwa hiyo hao ndio walimu waliotoka chuo chako ambao watajenga hoja kama wewe!hongera! Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  5. N

    CHADEMA inaimarika na inasonga mbele

    Uko sahihi mh!ni kwa nini waijadili chamema kila mara wasijadili cuf au nccr mageuzi?hicho ndicho chama shindani ndani ya tanzania!itafahamika.songa mbele Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  6. N

    CCM Arumeru kimenuka

    Go to hell ccm! Chama cha mashamba. Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
  7. N

    Kiongozi wa CHADEMA amepoteza Maisha kwenye Mlipuko wa Bomu Arusha

    Basi tena kwani hata mpiganaji akishindwa hutumia mawe,visu,nk.chadema mgumi tuu mpaka kieleweke mabumu hayamtishi mtu.niko njia panda.
  8. N

    Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!

    Ccm chama cha majasusi hatishiki mtu na mabomu.wananchi wanazidi kuzoea hali halisi.
  9. N

    Mkutano wa Chadema Kaloleni

    Powerrrrrr
Back
Top Bottom