Recent content by NKobi 1972

  1. N

    Kulikoni, mpakani na Rwanda sisi ni shamba la bibi?

    Elimu yetu shida sanaa
  2. N

    Shehe Ponda: Kwanini Spika anaendesha Vikao vya Bunge Siku ya Ijumaa? Au ni kiburi?!

    Sheikh Kasau kusoma kitabu vizur. Mtume "anasema mkimaliza kuswali nendeni mkafanya kazi " sio nendeni mkapumzike
  3. N

    Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

    Hakika.msafara wa malkia Elizabeth ulikuwa na pikipiki moja na gari sita tu.
  4. N

    CHADEMA ni kiboko, Rufaa inachukua miaka miwili kusikilizwa!

    Toka hapa huna maana kabisa. Umeshindwa kuona makosa ya waziwazi unashabikia procedure
  5. N

    CHADEMA pelekeni taarifa kwa Spika mubashara, mmeilinda vyema heshima ya chama chenu

    Duu sikutegemea platform hii iwe na watu kama hawa
  6. N

    Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani

    Tatizo la watanzania huwa nikujidai kwamba hakuna tatizo. Wakati lipo kabisa
  7. N

    Kama Tundu Lissu tulimchangia tena akiwa mbunge kwanini iwe nongwa kumchangia Profesa Jay ambaye hayuko Bungeni?

    Mzee Pasco pole na kufiwa na mama yako.niliiona post yako ukiilamikia serikari kwa ubaguzi wake kuhusu mafao ya wastafu. Leo tena unaunga hoja.
  8. N

    Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

    Haamini kuona hakuna sms hata moja ya.majibu kutoka kwa mbowe na number si yake
  9. N

    Bado unaamini hii kesi ni ya Ugaidi?

    Ohoo toba yarabi
  10. N

    Audio: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, amezungumza na waandishi wa habari leo, Januari 7, 2022

    Wewe kweli ni true jamii forum expert member. Kwa muda mrefu tumekosa very strong arguments like this. Well said and big up
  11. N

    Salamu kwa Tutu zinapowaamsha watema Nyongo

    Nauliza sana maskofu wetu huwa wanafanya nini katika kipindi kigumu kama alichopitia askofu mkuu huyu Tutu
Back
Top Bottom