Msafara wa Mwigulu Nchemba. Je, Kipindi Cha Magufuli ungeyafanya Haya?

Yale majamaa yanamchora tu, yanaishia kusema amuulize mwenzie EL kilichomkuta.

Kijana anajisahau labda kama wakali wa hizi kazi ndio wamempa hizo baraka lakini tofauti na hapo anaweza kufilisika kabisa huyu kijana, EL mwenzie pamoja na mizizi mirefu wahuni walimtingisha.
 
Back
Top Bottom