Badala ya kupromote pesa zao wanaiacha Dola ya USA na kukimbilia YUAN ya China, very sad. Kwahiyo na mchina akianza kukorofishana naye wataiacha Yuan na kukimbilia wapi?
Kwahiyo mkuu, unadhani Ulaya wanashindwa kuwa na jeshi imara mpaka wategemee jeshi la Marekani kumkabili Urusi? Binafsi naona ni kutokana na mikataba iliyowekwa baada ya WWII. Na kama Marekani ataendelea kunvunja mikataba yake dhidi ya Ulaya, basi tutalajie Ulaya iliyoungana kijeshi na kiuchumi...
Mkuuu, hapa kuna wasiwasi mkubwa juu ya mgogooro wa kibiadhara utakao tokea kati ya Marekani na Ulaya, Ufaransa, Uingereza na Ujerumani zimeapa kuungana ili kupinga mipango ya kuiwekea Iran vikwazo, hii huenda itaambatana na kuyapa kinga makampuni ya Ulaya yanayofanya biashara na Iran ili...
Kampuni kubwa na utengenezaji wa ndege za Boeing na Airbus ziko mbioni kupata hasara kubwa endapo vikwazo vipya dhidi ya Iran vitatangazwa wiki chache zijazo. Waziri wa barabara, miundombinu na viwanja vya ndege wa Iran amezitaka kampuni hizo kutoa majibu juu ya hatima ya kuiuzia ndege nchi hiyo...
Habari zenu wana JF, nadhani kwa jinsi vyuma vilivyokaza basi ni kwa neema ya mungu mambo yatakuwa mazuri tu
Niende moja kwa moja kwenye maada bila kuwachosha.
Kuna huyu mchezaji wa kenya aliyekuwa akifahamika kama OTIENO MBOO, huyu jama miaka ya 80 alikuwa akicheza katika timu ya taisha ya...
Kiranga japo hata yeye hana majibu kuhusu asili ya Binadamu ila maswali na majibu yake yako wazi. Mfano, wewe unamlazimisha atoe jibu unalolitrgemea, swali ulilomuuliza kiranga linaishia na NANI? ukitaka amtaje MUNGU, kwanini lisiishie KIPI? NINI? etc.
Bro, samahani kiodgo, wewe unachanganya, Freewill ni uwezo wa kufanya chochote, kiwe kibaya au kizuri bila kuzuiliwa wala kuhojiwa na mtu yeyote yule, so ukishaweka tu kwamba tufanye mazuri tu yoypte tunayo yataka, basi that is not a freewill but a controlledwill or guidedwill.
MYTAKE, Nothing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.