Habari zenu wajumbe wenzangu wa jukwaa hili adhimu!
Nimekutana na changamoto hii kwa mara tatu sasa. Unaingia kwenye mtandao wa kukata tiketi wa SGR kutoka Dar kwenda Dodoma unakuta treni zimejaa siku mbili mbele. Hivyo kama una safari ya ghafla kwenda au kutoka Dodoma huwezi kutumia treni...
Hata Ulaya kuna masikini kama sisi! Sio wote wana pesa ya kukodi gari ya kuzunguka mjini.
Tofauti yetu na wao ni kwamba wanaweza kujiwekea mipango ya kufanya jambo fulani. Wanadunduliza kujiwekea akiba mpaka apate pesa ya kufanya jambo lake; kama vile kuja kutembea Africa. Akija anakuwa na...
Nimesikia redioni kwamba Denmark inafunga Ubalozi wake wa Dar es Salaam, lakini hawajatoa maelezo ya kina kuhusu sababu za Kufunga ubalozi huo.
Kuna yeyote mwenye taarifa za kutosha kuhusu ufungaji huo wa ubalozi? Maana nimeanza kufikiria jinsi Denmark ilivyo mshirika mkubwa wa maendeleo kwa...
Salama wakuu?
Juzi nilikuwa nasafiri kutoka Mbeya kwenda Dar kwa gari ndogo. Tulipofika Mbuyuni wilaya ya Rujewa, tulisimamishwa na askari wa usalama barabarani. Baada ya kusimama askari akaomba leseni ya dereva. Baada ya kuchukua leseni dereva akaambiwa anaadhibiwa kwa kuendesha gari kwa spidi...
Hivi majuzi nimeumia sana; nilikuwa na bando ya wiki kutoka tigo 10GB na mtandao ulikuwa mbovu karibu wiki nzima. nikawa nimebakiwa na 7GB mara nikapata ujumbe kwamba kifurushi changu kimekwisha muda wake. Nilitamani nimtafune mdudu tigo kwa hasira!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.