Recent content by njumu za kosovo

  1. njumu za kosovo

    Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    kuna hiki kibunju nacho nakiona ona sana namb E sana wadau mnakionaje hiki
  2. njumu za kosovo

    Kabla ya kununua gari, hakikisha unajua bei za spea za gari unalotaka kununua

    Wakuu hivi ile ya kuitwa mazda verisa mnakaonaje kale?
  3. njumu za kosovo

    Tabia za mwanamke wa kigogo

    Wana viburi vya kujificha lakini pia muda wote wanaamini wanaonewa na pia ni wagumu kugundua makosa yao hata kidogo.
  4. njumu za kosovo

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    Ule mkoa wa TANGA unachukuliwa poa sana sana lakini katika mikoa ina watu wana dili kharamu Tanga stop , Cha kushangaza sasa wale mafia wote wauza unga wa Tanga na madili meusi huwakosi kwenye manyumba ya ibada na huwa wanapewa mpaka kusalisha.
  5. njumu za kosovo

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Sheria kali na mguu wa shingo mguu wa roho ndio vimewafikisha hapo ,China hata uwe nani ukizingua kunyongwa ndio adhabu ndogo kuliko zote Msiniulize hizo kubwa kubwa ni zipi😅😅😅
  6. njumu za kosovo

    Handeni kuna fursa ya Glocery

    "Hombo dikula munyu" jichanganye ukarogwe na vibia bia zako Handeni mchezo
  7. njumu za kosovo

    Abuu, Ishaka Marande na Yakub "Gowon" Mbamba

    Mzee Said humu kuna wajukuu zako pengine mpaka vijukuu hivyo wengine hufanya kama utani wa babu wa wajukuu ,basi karibu Sakura Pangani Tanga
  8. njumu za kosovo

    Nilichobaini kwa watu wa Njombe

    Jameni msitusahau na sisi wa Viguza Mkuranga hapa na sisi majasiri saaanaaa
  9. njumu za kosovo

    Huyu Jamaa hazeeki miaka Sasa yupo vile vile

    Huyo jamaa ana hela ni diwani huko mbweni kwa mama kizimkazi na ana mjengo wa maana na apartment pembeni anakula hela zake.
  10. njumu za kosovo

    Hofu yazidi kutanda, Iran yaanza kutorosha wakuu wake kutoka Syria

    Huyu Ayatollah alikua mbishi mbishi tangu nasoma nae madrasa shamsil maarif Tanga
  11. njumu za kosovo

    Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

    Dah, nikusaidie kidogo kwa kiasi fulani Rwand imeendelea lakini sio kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa, ile nchi ina maendeleo kwa kiasi fulani maeneo ya Chigali tu lakini huko kwingine ni yale yale. Ni sawa sawa useme Tanzania imeendelea sana kwa sababu ya Dar au Mwanza . Rwanda ndugu yangu...
  12. njumu za kosovo

    P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

    Hadi polisi wanaogopa kwenda kumkamata wakihofia usalama wa vijambio vyao
  13. njumu za kosovo

    Namna Airbus A220-300 ilivyoisababishia hasara ATCL

    Kuna mwamba hapo juu anasema ndege ilikua inawahisha madaktari kutibu watu , weeeeh sio ambulance hiyo
  14. njumu za kosovo

    Mbeya: Mkosoaji wa serikali ya Samia katika mtandao wa Tiktok akamatwa na wanadaiwa kuwa polisi

    Huyo nae hata ukimuangalia sio mkosoaji ni mropokaje . Wakati mwingine tuwe na mipaka katika maisha yetu
Back
Top Bottom