Ule mkoa wa TANGA unachukuliwa poa sana sana lakini katika mikoa ina watu wana dili kharamu Tanga stop ,
Cha kushangaza sasa wale mafia wote wauza unga wa Tanga na madili meusi huwakosi kwenye manyumba ya ibada na huwa wanapewa mpaka kusalisha.
Sheria kali na mguu wa shingo mguu wa roho ndio vimewafikisha hapo ,China hata uwe nani ukizingua kunyongwa ndio adhabu ndogo kuliko zote
Msiniulize hizo kubwa kubwa ni zipi😅😅😅
Dah, nikusaidie kidogo kwa kiasi fulani Rwand imeendelea lakini sio kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa, ile nchi ina maendeleo kwa kiasi fulani maeneo ya Chigali tu lakini huko kwingine ni yale yale.
Ni sawa sawa useme Tanzania imeendelea sana kwa sababu ya Dar au Mwanza .
Rwanda ndugu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.