Kama Nchi ina mamluki idadi kubwa hivyo ,unafikiri kuna ustawi wa hiyo nchi mbeleni? Hao sio Mossad wala mamluki hao ni wananchi wa kawaida tu wenye yao
Hapana hiyo sio AI ni picha halisi na kingine hao ni Wananchi wa kawaida kabisa huo u "mossad na Ucia" ni ile mbinu ya ukitaka kumuua nyani,
Kama kweli idadi yote hiyo ni mawakala wa CIA na Mossad basi muda wowote hiyo Nchi inaanguka kabisa kabisa
Pamoja na yoote ila America kuna watu wanaiona kama Burundi ila wale jamaa hawafai hata kidogo ruka ruka weeee wakikukalia mezani asali utaiona kama mkojo
Nilitaka niseme hili bahati nzuri nasoma comments nakuta tayari umeshaiweka kiukwelii huu ni mpango maalum ila kwa viongozi wetu hawa na watu wa idara najua watapuuzia na kuona kama aaah yatapita tuu lakini hizi video zinazozodi kutoka zina maana yake kubwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.